Utengule/Usongwe : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q7902640 (translate me)
d fixing dead links
Mstari 19:
}}
 
'''Utengule''' ni jina la kata ya [[Wilaya ya Mbeya Vijijini]] katika [[Mkoa wa Mbeya]], [[Tanzania]]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa [[2002]], kata ina wakazi wapatao 44,135 waishio humo. <ref>{{cite web|url=http://www.tanzania.go.tz/census/census/districts/mbeyarural.htm|title=2002 Population and Housing Census General Report|publisher=Government of [[Tanzania]]|language=en|accessdate=2008-08-21|archiveurl=http://web.archive.org/web/20040320095130/http://www.tanzania.go.tz/census/census/districts/mbeyarural.htm|archivedate=2004-03-20}}</ref>
 
Kijiji cha Utengule iko kilomita 16 kutoka [[Mbeya (mji)|Mbeya mjini]] kupitia [[Mbalizi]]. Kuna kanisa na chuo cha Biblia cha Moravian. Mazingira ya Utengule pana mashamba ya [[kahawa]] na shamba kubwa ambalo ni mali ya Waswisi walioanzisha pia hoteli ya Utengule Country Club.