Wikipedia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
'''Wikipedia''' ni [[kamusi elezo]] huru ya [[lugha]] nyingi katika [[mtandao]]. Inatumia taratibu wa [[wikiwikiwavuti]]. Ni bure kabisa, na inaweza kusomwa, kuandikwa, na kuhaririwa na mtu yeyote, popote pale. Yaani kila mtu anaweza kuchangia makala au kuwa na uhuru wa kuboresha makala zilizopo kwa kuzihariri.
 
Inatumia taratibu za [[wikiwiki]]. Ni bure kabisa, na inaweza kusomwa, kuandikwa, na kuhaririwa na [[mtu]] yeyote, popote pale. Yaani kila mtu anaweza kuchangia [[makala]] akiwa na [[uhuru]] wa kuboresha makala zilizopo kwa kuzihariri.
Kamusi hii inajengwa kwa utaratibu huria ambao umejengwa juu ya falsafa ya ushirikiano inayokuwa kwa kasi. Falsafa hii inaonekana katika vuguvugu la [[programu huria ya tarakilishi]], [[mikutano huria]], [[demokrasia huria]], n.k.
 
[[Kamusi]] hii inajengwa kwa utaratibu huria ambao umejengwa juu ya [[falsafa]] ya [[ushirikiano]] inayokuwa kwa kasi.
Wikipedia inaweza kusomewa pia nje ya mtandaoni kwa kutumia programu huria ya [[Kiwix]].
 
Kamusi hii inajengwa kwa utaratibu huria ambao umejengwa juu ya falsafa ya ushirikiano inayokuwa kwa kasi. Falsafa hii inaonekana katika vuguvugu la [[programu huria ya tarakilishi]], [[mikutano huria]], [[demokrasia huria]], n.k.
[[Mwanzo]]
 
Wikipedia inaweza kusomewakusomwa pia nje ya mtandaonimtandao kwa kutumia [[programu huria]] ya [[Kiwix]].
[[Kwanza]]
 
== Historia ==
Wikipedia ilianzishwa kwa [[Kiingereza]] mwezi wa kwanza mwaka [[2001]].

Mwaka [[2003]] kamusi elezo hii ilianzishwa katika lugha ya [[Kiswahili]].
{{mbegu-elimu}}
[[Jamii:Wikimedia]]
[[Jamii:Kamusi elezo]]
 
{{Link FA|ceb}}