Fasihi simulizi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
+jedwali jaribio
+mmmh
Mstari 4:
 
Hata jamii ijuayo kusoma na kuandika inaendelea kuwa na fasihi simulizi, hasa nyumbani, k.m. katika kuwasimulia watoto hadithi. Hata hivyo, mara nyingi fasihi simulizi ya jamii ijuayo kusoma na kuandika ni tofauti sana na fasihi simulizi ya jamii isiyo na uandishi, kwa vile imeathiriwa na ujuzi wa kusoma na kuandika, na [[mtindo|mitindo]] ya masimulizi yake haiendi sambamba na mitindo ya masimulizi yasiyoathiriwa na uandishi.
 
==Tanzu na vipera vya Fasihi Simulizi==
{| class="wikitable float-right"
|+Tanzu na vipera vya Fasihi Simulizi