Papa Alexander VI : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q108316 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Alexander VI - Pinturicchio detail.jpg|thumb|right|Papa
'''Papa Alexander VI''' ([[1 Januari]] [[1431]] – [[18 Agosti]] [[1503]]) alikuwa [[papa]] kuanzia tarehe [[11 Agosti]] [[1492]] hadi
Alimfuata [[Papa Innocent VIII]] akafuatwa na [[Papa Pius III]].
Jina lake la kuzaliwa lilikuwa '''Roderic Borgia'''. Alikuwa papa wa pili kutoka familia ya Borgia. [[Callixtus III]] aliyekuwa Borgia wa kwanza alimsaidia mpwa wake Roderic kupanda ngazi ndani ya kanisa. Kijana asiyekuwa na mafunzo wowote wa kiroho asiyepokea ubarikio wa upadre bado alipewa cheo na mapato ya askofu mara kadhaa katika dayosisi mbalimbali. 1456 alipewa cheo cha kardinali na 1458 akapadrishwa.▼
==Maisha==
Alizaa watoto na mke wake wa kando Vannozza dei Cattani akaendelea kuwaangalia na kuwatunza hata alipokuwa papa. Arusi ya binti yake Lucrecia Borgia ilisheherekewa rasmi katika jumba la kipapa la [[Vatikano]].▼
▲Jina lake la kuzaliwa lilikuwa '''Roderic Borgia'''. Alikuwa papa wa pili kutoka familia ya Borgia. [[
Mwaka [[1456]] alipewa cheo cha [[kardinali]] na mwaka [[1458]] [[upadrisho|akapadrishwa]].
Lakini kabla hajachaguliwa kuwa papa alimwacha Vannozza akaanza uhusiano na binti Giulia Farnese aliyezaa binti naye mwaka 1492 alipokuwa papa.▼
▲
Mwanawe Caesare alipewa cheo cha askofu alipokuwa na umri wa miaka 16 na kardinali alipofikia miaka 18. Baadaye aliacha maisha ya kanisa akafanywa na babaye jemadari wa jeshi la papa.▼
▲Lakini kabla hajachaguliwa kuwa papa alimwacha Vannozza akaanza uhusiano na binti Giulia Farnese aliyezaa
Alexander VI amejulikana pia kwa azimio lake la kugawa dunia kati ya [[Hispania]] na [[Ureno]] katika [[mkataba wa Tordesillas]] mwaka [[1494]]. Mkataba huu ulikuwa msingi wa koloni ya Kireno cha Brazil na utawala wa Hispania juu ya nchi nyengine za [[Amerika Kusini]].▼
▲Mwanawe
Wapinzani walimwona kama mfano mbaya wa uharibifu wa Upapa wakati wake.▼
▲
== Viungo vya nje ==▼
[http://www.newadvent.org/cathen/01289a.htm Papa Alexander VI katika ''Kamusi Elezo ya Kikatoliki'']▼
▲== Viungo vya nje ==
▲*[http://www.newadvent.org/cathen/01289a.htm Papa Alexander VI katika ''Kamusi Elezo ya Kikatoliki'']
{{Mbegu-Papa}}
{{Mapapa}}
{{DEFAULTSORT:Alexander VI}}
|