Papa Gregori XIII : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q83029 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Gregory XIII.jpg|
'''Papa Gregori XIII''' (*[[7 Januari]] [[1502]] mjini [[Bologna]]
Alimfuata [[Papa Pius V]] akafuatwa na [[Papa Sixtus V]].
Anakumbukwa hasa kwa matengenezo ya kalenda iliyojulikana kama "[[kalenda ya Gregori]]" ikawa kalenda ya kimataifa kote duniani.▼
▲Anakumbukwa hasa kwa matengenezo ya [[kalenda]] iliyojulikana kama "[[kalenda ya Gregori]]" ikawa kalenda ya kimataifa kote duniani hadi leo.
Alizaliwa kwa jina la '''Ugo Buoncampagni''' akafuata masomo ya sheria na kuwa profesa wa sheria kwenye chuo kikuu cha Bologna.▼
==Maisha==
Mwaka 1539 aliitwa na [[Papa Paulo III]] akapewa kazi mbalimbali kama mwanasheria wa kanisa. Baadaye [[Papa Paulo IV]] alimpa cheo cha [[askofu]] wa Viesti (Italia) na ni sasa tu ya kwamba Ugo alikula kiapo cha upadre na kuwekwa wakfu kama askofu moja kwa moja.▼
▲Alizaliwa kwa jina la '''Ugo Buoncampagni''' akafuata masomo ya [[sheria]] na kuwa [[profesa]] wa sheria kwenye [[chuo kikuu]] cha Bologna.
Mwaka [[1539]] aliitwa na [[Papa Paulo III]] akapewa kazi mbalimbali kama [[mwanasheria]] wa Kanisa.
▲
Pamoja na jitihada hizi za kisiasa alijenga taasisi ya taaluma. Aliunda Chuo Kikuu cha Mapapa huko Roma kinachoitwa kwa heshima yake "Gregoriana" hadi leo.▼
Baada ya kifo cha [[Papa Pius V]] alichaguliwa kuwa [[mwandamizi]] wake, akachukua jina la "Gregorius".
Kalenda mpya hakutunga lakini aliita wataalamu katika kamati maalumu na kukubali mapendekezo yake tar. [[24 Februari]] [[1582]].▼
Papa Gregori XIII alijitahidi kurudisha nyuma mwendo wa [[matengenezo ya Kiprotestanti]]. Alikubali [[dhuluma]] dhidi ya Wakristo wa Kiinjili nchini [[Ufaransa]] tarehe 23 - [[24 Agost]]i [[1572]] ("[[Usiku wa Bartolomeo]]").
== Viungo vya nje ==▼
[http://www.newadvent.org/cathen/07001b.htm Papa Gregori XIII katika ''Kamusi Elezo ya Kikatoliki'']▼
Alijaribu kukusanya ma[[taifa]] ya [[Ulaya]] dhidi ya [[Dola la Uturuki]] kwa [[shabaha]] ya kukomboa [[mji]] wa [[Konstantinopoli]] lakini hakufaulu.
▲Pamoja na jitihada hizi za
▲Kalenda mpya
▲== Viungo vya nje ==
▲*[http://www.newadvent.org/cathen/07001b.htm Papa Gregori XIII katika ''Kamusi Elezo ya Kikatoliki'']
{{Mbegu-Papa}}
{{Mapapa}}
{{DEFAULTSORT:Gregori XIII}}
|