Blandina Changula : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Minor fix using AWB
No edit summary
Mstari 26:
Blandina Changula anatokea kundi la [[Kaole Sanaa Group]], ni kundi ambalo linafahamika sana nchini Tanzania kwa kutoa nyota wengi wa uigizaji, Blandina nae ni mmoja kati ya nyota
hao, wengine ni [[Steven Kanumba]], [[Vincent Kigosi]] (Mr Ray), Tea na wengine wengi tu kutoka [[Kaole Sanaa Group]].
kwa hivi sasa Blandina Chagula kwa kushirikiana na msanii mwenzake Vincent Kigosi wana kampuni yao pamoja iitwayo RJ Company (Ray & Johari coumpany ) ambayo inafanya kazi ya kuzalisha filamu mbalimbali kama vile Bed Rest, Bad Luck , Wrong hope , Peace of mind , Fair Decision nk.
 
== Baadhi ya Filamu Alizoigiza ==
* Sikitiko Langu