Mizizi ya dhambi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|[[Hieronymus Bosch alivyochora ''Mizizi Saba ya Dhambi na Vikomo Vinne.'']] {{Vilema vikuu}} '''Mizizi ya dhambi''', au...'
(Hakuna tofauti)

Pitio la 09:30, 18 Septemba 2014

Mizizi ya dhambi, au vilema vikuu au vichwa vya dhambi ni orodha ya maovu ambayo tangu zamani za mababu wa Kanisa[1] katika maadili ya Ukristo yanahesabiwa kuelekeza binadamu kutenda dhambi nyingine, hata kubwa zaidi. [2]

Hieronymus Bosch alivyochora Mizizi Saba ya Dhambi na Vikomo Vinne.
Vilema vikuu

Kwa kawaida inatajwa kuwa saba,[3] zote zikitokana na umimi usiozingatia ukweli.

Tanbihi

  1. Introduction to Paulist Press edition of John Climacus: The Ladder of Divine Ascent by Kallistos Ware, p63.
  2. Katekisimu ya Kanisa Katoliki, n. 1866.
  3. Boyle, Marjorie O'Rourke (1997) [1997-10-23]. "Three: The Flying Serpent". Loyola's Acts: The Rhetoric of the Self. The New Historicism: Studies in Cultural Poetics, 36. Berkeley: University of California Press. pp. 100–146. ISBN 978-0-520-20937-4. 

Marejeo

  • Refoule, F. (1967) Evagrius Ponticus. In Staff of Catholic University of America (Eds.) New Catholic Encyclopaedia. Volume 5, pp644–645. New York: McGrawHill.
  • Schumacher, Meinolf (2005): "Catalogues of Demons as Catalogues of Vices in Medieval German Literature: 'Des Teufels Netz' and the Alexander Romance by Ulrich von Etzenbach." In In the Garden of Evil: The Vices and Culture in the Middle Ages. Edited by Richard Newhauser, pp. 277–290. Toronto: Pontifical Institute of Mediaeval Studies.

Marejeo mengine

Viungo vya nje

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu: