Maana ya maisha : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
MAISHA ni muunganiko wa vitu viwili |
MAISHA ni muunganiko wa vitu viwili moja uhai pili shughuli za kiumbe hai. Hivyo tunapata maana ya maisha yana husisha Kiumbe hai na shughuli zake. |
||
Mstari 11:
Limekuwa suala kuu la [[udadisi]] kwa [[sayansi]], [[falsafa]] na [[teolojia]] tangu zamani. Kumekuwa na idadi kubwa ya majibu kwa maswali hayo kutoka asili mbalimbali ki[[itikadi]] na ki[[utamaduni]].
Maana ya maisha imechanganyikana kwa undani na [[dhana]] za [[falsafa]] na [[imani]] za [[dini]] na hugusia
<gallery> == Example.jpg|Maelezo mafupi 1 Example.jpg|Maelezo mafupi 2 == </gallery> uala mengine mengi, kama vile [[ontolojia]], [[tunu]], [[kusudi]], [[maadili]], [[hiari]], uwepo wa [[Mungu]], [[roho]], na kinachoendelea baada ya maisha haya. Michango ya sayansi kawaida ni ya moja kwa moja na inaeleza [[uhalisia]] kutokana na mambo yanayopimika kuhusu [[ulimwengu]]; sayansi inatoa [[muktadha]] na mipaka kwa mazungumzo kuhusu [[mada]] zinazohusika.
|