Tungo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Tungo''' ni neno au nomino inayotokana na kitenzi "tunga". Kutunga ni kuweka/kushikaminisha vitu pamoja kwa kutumia kitu kama kamba au uzi kwa kupitishia nda...' |
d Rekebisha tahajia tu. |
||
Mstari 1:
'''Tungo''' ni neno au nomino inayotokana na kitenzi "tunga". Kutunga ni kuweka/
==Uchambuzi==
Katika taaluma ya lugha (sarufi) tuna dhana hiyohiyo ya kuweka/kushikamanisha vitu pamoja, yaani, kupanga/kuweka pamoja vipashio vya lugha ili kujenga kipashio kikubwa zaidi.
Mstari 5:
Tungo ni mpangilio wa maneno unaotoa taarifa fulani. Taarifa hiyo inaweza kuwa kamili au la. Lakini lazima kuwe na mpangilio kamili katika muundo mzima wa kisarufi.
==Aina za tungo==
#[[Kigezo cha viwango]]
|