Bunilizi ya kinjozi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 56 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q132311 (translate me)
No edit summary
Mstari 1:
'''Bunilizi ya kinjozi''' (au bunilizi ya kifantasia) ni [[utanzu]] fulani wa [[fasihi andishi]]. Katika bunilizi hiyo mwandishi anatumia matukio au wahusika wasio wa kawaida. Mifano ya bunilizi ya kinjozi katika fasihi ya [[Kiingerezabunilizi]] ni "A Midsummer Night's Dream" (''Ndoto ya Usiku Mmoja'') yahiyo [[William Shakespearemwandishi]], "Gulliver's Travels" (''Safari za Guliveri'') yaanatumia ma[[Jonathan Swifttukio]], au "Thewahusika Lord of the Rings" (''[[Bwanawasio wa Mapete]]'') ya [[J.R.Rkawaida. Tolkien]].
 
Mifano ya bunilizi ya ki[[njozi]] katika [[fasihi]] ya [[Kiingereza]] ni: "A Midsummer Night's Dream" (''[[Ndoto ya Usiku Mmoja]]'') ya [[William Shakespeare]], "Gulliver's Travels" (''[[Safari za Guliveri]]'') ya [[Jonathan Swift]], na "The Lord of the Rings" (''[[Bwana wa Mapete]]'') ya [[J.R.R. Tolkien]].
Bunilizi ya kinjozi hutofautishwa na [[bunilizi ya kisayansi]] kwa vile haisifu mambo ya teknolojia bali inatumia maajabu na viumbe vya [[kisasili|visasili]].
 
Bunilizi ya kinjozi hutofautishwa na [[bunilizi ya kisayansi]] kwa vile haisifu mambo ya [[teknolojia]] bali inatumia maajabuma[[ajabu]] na viumbe vya [[kisasili|visasili]].
 
== Marejeo ==
* Wamitila, K.W. 2003. ''Kamusi ya Fasihi: Istilahi na Nadharia'', Nairobi: Focus Books.
 
[[Jamii:Fasihi]]