Content deleted Content added
No edit summary
Jibu
Mstari 12:
 
::We Babu salaam na karibu katika Wikipedia ya Kiswahili. Awali nilidhani wale watu wa buu-baa, kumbe ni mtalaamu na mwandishi mzuri wa Kiswahili. Ninakukaribisha kwa mikono miwili ili tuendeleze gurudumu hili la Kiswahili. Salaam nyingi kutoka mjini Dar es Salaam, Tanzania. Niite Muddyb au,--[[User:Muddyb Blast Producer|<font color="blue"><sub>'''Mwanaharakati'''</sub></font>]]</span><font face="Verdana">[[User talk:Muddyb Blast Producer|<font color="gray"><sup>'''Longa'''</sup></font>]] 03:33, 30 Oktoba 2014 (UTC)
 
:::Salamu Muddyb - asante kwa maneno yako ya kukaribisha! Lakini, kwani mimi ni mwanafunzi wa Kiswahili tu, naona umenipa fumbo zuri - maana ya "buu-baa". Naomba unitaalamishe! :) '''[[Mtumiaji:Rberetta|Rberetta]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rberetta#top|majadiliano]])''' 15:06, 30 Oktoba 2014 (UTC)