Johannesburg : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Tengua pitio 923142 lililoandikwa na 197.79.10.66 (Majadiliano) |
No edit summary |
||
Mstari 27:
Mji ulianzishwa [[4 Oktoba]] [[1886]] ukakua haraka baada ya kupatikana kwa dhahabu. Siku hizi ni kitovu cha kiuchumi wa Afrika Kusini na makao ya [[soko la hisa]] kubwa katika [[Afrika]].
Karibu theluthi moja ya wakazi wa jiji hukaa katika eneo la [[Soweto]] ambalo ni mtaa ulioengwa nje ya jiji asilia kwa ajili ya wafanyakazi Waafrika wakati wa [[Apartheid]] (siasa ya ubaguzi wa rangi).▼
▲Karibu theluthi moja ya wakazi wa jiji
Jozi kama inavyojulikana na wengi ni moja kati ya miji mikubwa duniani iliyoendelea(kujengeka) sehemu ambako hakuna mto,ziwa ama bahari [[ufukwe]]..! Imehaririwa na [[Selemani Mkonje]]
{{commonscat}}
{{mbegu-jio-AfrikaKusini}}
|