Visiwa vya Kanari : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 116 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q5813 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 15:
|-
|Wakazi
<br /> - jumla (
<br /> - % za Hispania
<br /> - Msongamano wa watu
||<br />
<br />
<br />4,4%
<br />
|-
|Uwakilishi bungeni
Mstari 36:
[[Picha:Locator map of Canary.png|thumb|Visiwa vya Kanari na Hispania]]
'''Visiwa vya Kanari''' (kwa [[Kihispania]]: Islas Canarias) ni [[funguvisiwa]] ya [[Afrika ya Kaskazini]] katika [[bahari]] ya [[Atlantiki]].
Kisiasa ni [[jimbo la kujitawala la Hispania]].
== Utawala ==
Kisiasa visiwa hivyo ni kati ya maeneo ya kujitawala ndani ya [[ufalme wa Hispania]].
Visiwa vikubwa ni saba:
[[El Hierro]], [[La Gomera]], [[La Palma]] na [[Tenerife]] ambavyo
halafu [[Gran Canaria]], [[Fuerteventura]] na [[Lanzarote]] ambavyo
tena kuna visiwa vidogo sita vya Alegranza, Kisiwa cha Lobos, La Graciosa, Montaña Clara, Roque del Este na Roque del Oeste, vyote vya mkoa wa Las Palmas.
Miji mikuu ni [[Santa Cruz de Tenerife]] na [[Las Palmas de Gran Canaria]].
Makao ya mkuu wa [[serikali]] ya eneo huhamahama kati ya miji
== Wakazi ==
Jumla ya wakazi kufuatana na [[sensa]] ya mwaka 2005 ni 1,968,280. Mkoa wa Las Palmas una wakazi 1.011.928 katika tarafa 33, mkoa wa Santa Cruz de Tenerife una watu 956.352 katika tarafa 52.
Miji mikubwa ni Las Palmas de Gran Canaria (wakazi 378.628), Santa Cruz de Tenerife (wakazi 221.567), San Cristóbal de la Laguna (wakazi 141.627), Telde (wakazi 96.547) na Arona (79.377).
[[Picha:Canarias-rotulado.png|thumb|450px|Ramani ya Visiwa vya Kanari]]
Idadi ya wakazi wa visiwa vikubwa ni kama ifuatayo:
* Tenerife - 906.854
Line 68 ⟶ 70:
* La Gomera - 21.746
* El Hierro - 10.477
Karibu wenyeji wote ni [[Wakristo]] wa [[Kanisa Katoliki]].
== Historia ==
Visiwa vya Kanari vilitembelewa zamani na wasafiri [[Wafinisia]], [[Wagiriki]] na [[Waroma]], baadaye na [[Waarabu]]. Katika [[Ulaya]] visiwa vilisahauliwa hadi
Wakati wa kufika kwa Wahispania kuanzia mwaka 1400 walikuwa na [[utamaduni]] bila [[chuma]]; wanasemekana hawakujua usafiri wa bahari.
Baada ya Wahispania kufika [[Amerika]], Las Palmas ilikuwa [[bandari]] muhimu ya safari za Atlantiki.
== Uchumi ==
Kutokana na [[uzuri]] wa nchi na [[hali ya hewa]] ambayo ni poa mwaka wote [[utalii]]
<gallery>
Picha:Echium Wildpretii at The Teide.jpg|[[Teide]], [[Tenerife]]
Picha:Watalii Fuerteventura.jpg|Watalii
</gallery>
|