Bosnia na Herzegovina : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 199 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q225 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 23:
|population_estimate_rank = ya 127<sup>3</sup>
|population_estimate_year = Julai 2006
|population_census =
|population_census_year =
|population_density = 76
|population_densitymi² = 197 <!--Do not remove per [[WP:MOSNUM]]-->
Mstari 54:
}}
'''Bosnia na Herzegovina''' (''Bosna i Hercegovina'' au Босна и Херцеговина ) ni nchi ya [[Ulaya]] kusini mashariki kwenye
Eneo lake ni 51,129 [[km²]] linalokaliwa na wakazi karibu milioni nne.
Kati ya wakazi kuna vikundi vitatu vinavyotofautiana kiutamaduni na kidini: [[Wabosnia]] (48%), [[Waserbia]] (37%) na [[Wakroatia]] (13%). Wanadai ya kwamba lugha zao ni tofauti lakini hali halisi ni lugha ileile ya [[Kislavoni]]. Wakati wa Yugoslavia iliitwa "[[Kiserbokroatia]]". Tofauti ziko kwa sababu Wabosnia hutazamiwa kuwa Waislamu, Waserbia kuwa Wakristo Waothodoksi na Wakroatia kuwa Wakristo Wakatoliki.▼
Mji mkuu ni [[Sarayevo]].
Nchi ina vitengo viwili: [[Shirikisho la Bosnia na Herzegovina]] linalounganisha maeneo ya Waislamu na Wakatoliki na [[Republika Srpska]] au eneo la Waserbia Waorthodoksi.▼
▲Kati ya wakazi kuna vikundi vitatu vinavyotofautiana
▲Nchi ina vitengo viwili: [[Shirikisho la Bosnia na Herzegovina]] linalounganisha maeneo ya Waislamu na ya Wakatoliki na [[Republika Srpska]] au eneo la Waserbia Waorthodoksi.
[[Picha:Bk-map.png|thumbnail|left|300px|Ramani ya Bosnia na Herzegovina]]
== Historia ==
Bosnia ilitokea kama eneo la pekee wakati za
Jina la Bosnia limetokana na [[mto Bosna]]. Jina la Herzegovina lilitokana na watemi wa kusini katika eneo la [[mji]] wa [[Mostar]] waliotumia [[cheo]] cha [[Kijerumani]] cha "Herzog" na eneo
Utawala wa Kiislamu ulisababisha kugeuka kwa sehemu kubwa ya wakazi kuwa Waislamu walioendelea kutumia lugha yao ya Kislavoni.
Wakati wa kudhoofika kwa Dola la Uturuki katika [[karne ya 19]] utawala wa nchi ulifika mikononi mwa [[Austria-Hungaria]].
[[Vita kuu ya kwanza ya dunia]] ilisababishwa mjini Sarayevo kutokana na ma[[uaji]] ya [[mfalme mteule]] wa [[Austria]] na [[mke]] wake.
Kati ya [[1918]] na [[1992]] Bosnia na Herzegovina ilikuwa jimbo la [[Yugoslavia]].
Jumuiya ya kimataifa iliingilia kati na kuwalazimisha washiriki kukubali [[amani]] katika [[mkataba wa Dayton wa 1995]]. [[Mamlaka]] kuu
== Viungo vya Nje ==
|