Rosetta (kipimaanga) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Rosetta.jpg|350px|thumbnail|Rosetta]]
[[Picha:Trajectoire-Rosetta.svg|350px|thumbnail|'''Njia ya Rosetta''' hadi kufikia nyotamkia 67P/Churyumov-Gerasimenko. Njia za Rosetta (nyeusi), Dunia (kijani), [[Mirihi]] (nyekundu), [[Mshtarii]] (kahawia) na [[67P/Churyumov-Gerasimenko]] (buluu). Karibu na na. 9 chombo kilifikia njia ya nyotamkia, kwenye na. 10 kilianza kuzunkukakuzunguka lengo, kwenye na. 11 lander Philae ilishuka juu ya uso wa nyotamkia .]]
 
'''Rosetta''' ni [[chombo cha angani]] cha [[Mamlaka ya Ulaya ya Usafiri wa Anga]]. IlirushwaKilirushwa angani[[anga]]ni kutoka kituo cha angani [[Kourou]] mwaka [[2004]] kwa [[roketi]] ya [[Ariane 5]] kwa kusudi la kufikia [[nyotamkia]] ya [[67P/Churyumov–Gerasimenko]].
 
Ilhali hakuna [[roketi bao]] yenye nguvu ya kufiishakufikisha chombo moja kwa moja hadi nyotamkia, Rosetta ilitumia njia ya kuzunguka mara kadhaa [[Dunia]] yetu na [[sayari]] ya [[Mirihi]] kwa kusudi la kuongeza mwendo wake kwa msaada wa graviti ya sayari hizi. Rosetta inapata nguvu yake kwa kutumia seli za [[umemenurugraviti]]. Ilhali nuru a jua inapungua sana nje ya njiasayari ya Mirihi chombo kilingia katika kipindi kirefu cha usingizi wa miezi 31 kwa kusudi la kutunza nishati ya beteri zake hadi kukaribia lengo lakehizi. Tarehe 20 Januari 2014 chombo kiliamka tena wakati wa kukaribia nyotamkia.
 
Rosetta inapata nguvu yake kwa kutumia [[seli]] za [[umemenuru]]. Ilhali [[nuru]] ya jua inapungua sana nje ya njia ya Mirihi, chombo kiliingia katika kipindi kirefu cha [[usingizi]] wa miezi 31 kwa kusudi la kutunza [[nishati]] ya [[beteri]] zake hadi kukaribia lengo lake. Tarehe [[20 Januari]] [[2014]] chombo kiliamka tena wakati wa kukaribia nyotamkia.
Mwezi wa Agosti 2014 ilifika ikaanza kuzunguka nyotamkia hii. Mwezi wa Novemba 2014 ilirusha lander yake Philae ilishuka kwenye uso wa nyotamkia tarehe 11 Novemba 2014 ikiwa mara ya kwanza ya kwamba chombo kilichotengenezwa na binadamu ilifikia kwenye nyotamkia.
 
Mwezi wa Agosti 2014 ilifika ikaanza kuzunguka nyotamkia hiihiyo. Mwezi wa Novemba 2014 ilirusha lander yake Philae ambayo ilishuka kwenye uso wa nyotamkia tarehe [[11 Novemba]] 2014 ikiwa mara ya kwanza ya kwamba chombo kilichotengenezwa na [[binadamu]] ilifikiakufikia kwenye nyotamkia yoyote.
 
 
[[Jamii:Usafiri wa angani]]