ESA : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
img |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Ariane 1 Le Bourget FRA 001.jpg|300px|thumbnail|Mfano wa roketi ya Ariane 1 inayotumiwa na ESA]]
[[Picha:Views in the Main Control Room (12052189474).jpg|300px|thumbnail|Kituo cha kusimamia operesheni kwenye [[anga la nje]] huko [[Darmstadt]]]]
'''ESA''' ni kifupi cha [[Kiingereza]] cha "'''European Space Agency'''" (Mamlaka ya Ulaya ya Usafiri wa Anga). Taasisi
Wajibu wake ni kuratibu miradi ya nchi za Ulaya ya kuendesha [[utafiti]] na [[uchunguzi]] wa [[anga]]. Shabaha ni hasa kuendeleza juhudi za nchi za Ulaya katika [[teknolojia ya angani]] iliyokuwa nyuma sana kulingana na kazi za [[NASA|Marekani]] na [[Urusi]] wakati ule.
ESA inashirikiana kwa karibu na Umoja wa Ulaya na taasisi husika za kitaifa hasa za [[Ufaransa]] na [[Ujerumani]].▼
Katibu Mkuu wa ESA ni Mfaransa Jean-Jacques Dordain.▼
Mwaka [[2014]] kulikuwa na nchi wanachama 20, na kati ya hizo kuna nchi 18 wanachama wa Umoja wa Ulaya pamoja na [[Uswisi]] na [[Norwei]]. Kufuatana na katiba yake, ESA inalenga shabaha zisizo za ki[[jeshi]] pekee.
▲ESA inashirikiana kwa karibu na Umoja wa Ulaya na [[taasisi]] husika za kitaifa, hasa za [[Ufaransa]] na [[Ujerumani]].
▲Katibu Mkuu wa ESA ni Mfaransa [[Jean-Jacques Dordain]].
==Ofisi na vituo vyaa EAS==
* [[Darmstadt]], [[Ujerumani]]: Kituo cha kusimamia operesheni kwenye anga la nje (European Space Operations Centre ESOC)
* [[Paris]], [[Ufaransa]]: Ofisi Kuu
* [[Noordwijk]], [[Uholanzi]]:
* [[Cologne]], [[Ujerumani]]: Kituo cha wanaanga (European Astronaut Centre)
* [[Oberpfaffenhofen]], Ujerumani: ESA Business Incubation Centre (BIC)
* [[Frascati]], [[Italia]]: Taasisi wa utafiti wa anga la nje
* [[Villafranca del Castillo]], [[Villanueva de la Cañada]], [[Hispania]]: Kituo cha
* [[Kourou]], [[Guyana ya Kifaransa]]: Kituo cha
* [[Kiruna]], [[Uswidi]]: Kituo cha Ulaya cha utafiti wa hali ya [[kimo cha juu]] na [[graviti]]
ESA ina pia [[ofisi]] za [[mawasiliano]] katika Marekani, Urusi, [[Uingereza]], Ufaransa na [[Ubelgiji]].
==Viungo vya nje==
{{
[[Jamii:Umoja wa Ulaya]]
[[jamii:Usafiri wa
|