Urusi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d Robot: ar:روسيا is a featured article; cosmetic changes |
No edit summary |
||
Mstari 20:
|area_magnitude = 1 E12
|percent_water = 13<!--http://www.gks.ru/scripts/free/1c.exe?XXXX09F.2.1/010000R-->
|population_estimate =
|population_estimate_year =
|population_estimate_rank = ya
|population_census = 145,164,000<!--http://www.eastview.com/all_russian_population_census.asp-->
|population_census_year = 2002
|population_density = 8.3
|population_densitymi² = 21.
|population_density_rank = ya
|GDP_PPP_year = 2005
|GDP_PPP = $1.576 trillioni <!--http://www.imf.org/external/pubs/ft/weo/2006/01/data/dbcoutm.cfm?SD=2005&ED=2005&R1=1&R2=1&CS=3&SS=2&OS=C&DD=0&OUT=1&C=512-941-914-446-612-666-614-672-311-946-213-137-911-962-193-674-122-676-912-548-313-556-419-678-513-181-316-682-913-684-124-273-339-921-638-948-514-686-218-688-963-518-616-728-223-558-516-138-918-353-748-196-618-278-522-692-622-694-156-142-624-449-626-564-628-283-228-853-924-288-233-293-632-566-636-964-634-182-238-453-662-968-960-922-423-714-935-862-128-716-611-456-321-722-243-965-248-718-469-724-253-576-642-936-643-961-939-813-644-199-819-184-172-524-132-361-646-362-648-364-915-732-134-366-652-734-174-144-328-146-258-463-656-528-654-923-336-738-263-578-268-537-532-742-944-866-176-369-534-744-536-186-429-925-178-746-436-926-136-466-343-112-158-111-439-298-916-927-664-846-826-299-542-582-443-474-917-754-544-698&S=PPPWGT&CMP=0&x=25&y=12-->
Mstari 48:
}}
'''Urusi''' (Россия ''Rossiya'') ni nchi ya [[Ulaya]] ya Mashariki na [[Asia]]. Mji mkuu ni [[Moscow]]. Ni nchi kubwa duniani kieneo, ikiwa na [[km²]] 17,075,400. Kuna wakazi 144,000,000
Urusi imepakana na [[Norway]], [[Ufini]], [[Estonia]], [[Latvia]], [[Lithuania]], [[Poland]], [[Belarus]], [[Ukraine]], [[Georgia (nchi)|Georgia]], [[Azerbaijan]], [[Kazakhstan]], [[China]], [[Mongolia]] na [[Korea ya Kaskazini]]. Iko karibu vilevile na maeneo ya [[Marekani]] (jimbo la [[Alaska]]
Hadi [[1991]] Urusi ilikuwa sehemu ya [[Umoja wa Kisovyeti]] na kiini chake. Wakati ule iliitwa [[Shirikisho la Jamhuri ya Kisovyiet ya Kijamii ya Kirusi]]. Urusi ilikuwa udikteta chini ya [[chama cha kikomunisti]]. Tangu 1990 imekuwa [[demokrasia]]. Muundo wa serikali ni [[shirikisho]] la jamhuri chini ya [[rais mtendaji]].▼
▲Hadi [[1991]] Urusi ilikuwa sehemu ya [[Umoja wa Kisovyeti]] na kiini chake. Wakati ule iliitwa [[Shirikisho la Jamhuri ya Kisovyiet ya Kijamii ya Kirusi]].
Urusi ilikuwa [[udikteta]] chini ya [[chama cha kikomunisti]]. Tangu [[1990]] imekuwa [[demokrasia]].
Muundo wa [[utawala]] ni [[shirikisho]] la [[jamhuri]] chini ya [[rais mtendaji]].
== Jiografia ==
Eneo la Shirikisho la Kirusi linajumlisha sehemu kubwa ya kaskazini ya
▲Urusi imepakana na [[Norway]], [[Ufini]], [[Estonia]], [[Latvia]], [[Lithuania]], [[Poland]], [[Belarus]], [[Ukraine]], [[Georgia (nchi)|Georgia]], [[Azerbaijan]], [[Kazakhstan]], [[China]], [[Mongolia]] na [[Korea ya Kaskazini]]. Iko karibu vilevile na maeneo ya [[Marekani]] (jimbo la [[Alaska]] iko ngambo ya [[mlango wa Bering]] na [[Japani]] (kisiwa cha [[Hokkaido]] kiko ng'ambo ya mlango wa [[La Pérouse]].
Mkoa wa [[Kaliningrad]] haufuatani moja kwa moja na maeneo mengine ya Urusi: umetengwa nayo na [[nchi za Kibaltiki]].
Mara nyingi Urusi hutazamiwa kama sehemu mbili
▲Eneo la Shirikisho la Kirusi linajumlisha sehemu kubwa ya kaskazini ya mabara ya [[Ulaya]] na [[Asia]]. Umbali kati ya upande wa magharibi na upande mashariki kabisa ni karibu kilomita 8,000. Mkoa wa [[Kaliningrad]] haufuatani moja kwa moja na maeneo mengine ya Urusi umetengwa nayo na [[nchi za Kibaltiki]].
Pwani ndefu ya kaskazini inatazama [[Bahari ya Aktiki]].
▲Mara nyingi Urusi hutazamiwa kama sehemu mbili za Urusi wa Ulaya hadi milima ya [[Ural]] na [[Siberia]] au Urusi wa Kiasia ambayo ni nchi pana kati ya [[Ural]] na [[Pasifiki]]. Pwani ndefu la kaskazini linatazama [[Bahari ya Aktiki]].
Sehemu kubwa ya Urusi ni tambarare penye vilima vidogo tu. Milima mirefu
=== Mito ===
Kati ya mito mikubwa kuna:
* [[Volga]] ambayo ni [[mto]] mrefu wa Ulaya ukiishia katika [[Bahari ya Kaspi]]
* [[Dnepr]] unaoishia katika
* [[Oka (mto)|Oka]]
* [[Moskva (mto)|Moskva]]
Line 75 ⟶ 83:
* [[Amur (mto)|Amur]]
=== Miji mikubwa
Ma[[jiji]] mawili makuu ni [[Moscow]] na [[Sankt Peterburg]].
Majiji mawili makuu ni [[Moscow]] na [[Sankt Peterburg]]. Sankt Peterburg ilikuwa mji mkuu kuanzia mwaka 1703 hadi 1918 kama makao makuu ya [[tsar]] au kaisari wa Urusi. 1924-1989 ikaitwa Leningrad kwa heshima ya kiongozi wa mapinduzi. Moscow ni mji mkuu wa kale iliyorudishwa nafasi yake baada ya mapinduzi ya kikomunisti ya 1918.▼
Moscow ni [[mji mkuu]] wa kale uliyorudishiwa nafasi yake baada ya [[mapinduzi ya kikomunisti]] ya mwaka 1918.
▲
Miji mingine mikubwa ni pamoja na▼
▲Miji mingine mikubwa ni pamoja na:
* [[Novosibirsk]]
Line 87 ⟶ 99:
* [[Kazan]]
* [[Ufa]]
* [[Chelyabinsk]]
* [[Rostov]]
* [[Perm]]
Line 93 ⟶ 105:
=== Hali ya hewa ===
Sehemu kubwa za Urusi huwa na vipindi vya [[majira]] tofauti sana; [[joto]] kubwa inafuatana na [[baridi]] kali.
Kaskazini
== Historia ==
[[Historia]] ya Urusi kama nchi ya pekee ilianza polepole pale ambako
[[Waskandinavia]] waliunda [[dola]] la kwanza katika eneo la [[Kiev]], Mwaka [[988]] Kiev ilipokea [[Ukristo]] wa [[Kiorthodoksi]] kutoka [[Bizanti]]. Dola la Kiev === Upanuzi wa utemi wa Moscow ===
Kubwa kati ya maeneo yale madogo
Baada ya anguko la [[Konstantinopoli]] mwaka [[1453]] watawala wa Moscow walipokea cheo cha [[Kaisari]] wa [[Roma]] kilichoitwa "[[tsar]]" na kuwa cheo cha watawala wa Urusi hadi [[1917]].
Hadi karne ya 18 eneo ya Moscow ilikuwa tayari kubwa likabadilika kuwa Milki ya Kirusi iliyoendelea kupanua katika Siberia na Asia ya Kati. Sasa ilikuwa kati ya milki kubwa kabisa za historia ikienea kutoka [[Poland]] upande wa magharibi hadi bahari ya [[Pasifiki]] upande wa mashariki.▼
▲Hadi [[karne ya 18]] eneo
=== Matengenezo ya kisiasa chini ya Peter I ===▼
Tsar [[Peter I wa Urusi|Peter I]] (1689 - 1725) alitambua ya kwamba nchi yake ilikuwa nyuma kiteknolojia na kielimu kulingana na mataifa ya Ulaya. Alianzisha mabadiliko mengi ya kuiga mfano wa Ulaya ya Magharibi akahamisha mji mkuu kutoka Moscow kwenda mji mpya aliyounda sehemu ya magharibi ya milki yake akaiita [[Sankt Peterburg]].▼
Tangu Peter I nchi ilishiriki katika siasa ya Ulaya pamoja na vita vingi za Kiulaya. Mwanzo wa [[karne ya 19]] milki ikashambuliwa na [[Napoleon]] aliyeteka Moscow lakini Warusi walifaulu kuwafukuza maadui.▼
▲Tsar [[Peter I wa Urusi|
Tangu wakati wa Petro I nchi ilishiriki katika [[siasa]] ya Ulaya pamoja na [[vita]] vingi vya huko.
▲
=== Upanuzi katika Asia ===
Matsar wa Urusi waliendelea kutawala kwa kuwa na [[mamlaka]] zote bila kushirikisha wananchi jinsi ilivyokuwa kawaida katika sehemu nyingine za Ulaya. Miji iliona [[maendeleo]] ya viwanda na jamii ya kisasa, lakini sehemu kubwa ya [[wakulima]] waliendelea kukaa chini ya [[utawala]] wa
Katika sehemu ya pili ya karne ya 19 Urusi === Mapinduzi za 1905 na 1917 ===
Mwanzoni
Mwaka [[1904]] upanuzi wa Urusi katika Asia uligongana na upanuzi wa Japan. Katika [[Vita ya Japani na Urusi ya 1905|vita dhidi ya Japani]] Urusi
Urusi
Vita === Utawala wa kikomunisti na Umoja wa Kisovyeti ===
Urusi lilikuwa sasa jina la jamhuri kubwa katika [[umoja]] huu nao ukaitwa [[Shirikisho la Jamhuri ya Kisovyiet ya Kijamii ya Kirusi]].
Kikatiba jamhuri hizi zote zilikuwa nchi huria lakini hali halisi zilitawaliwa zote kutoka makao makuu ya chama cha kikomunisti huko Moscow. Katiba hii ilipata umuhimu tangu 1989 wakati wa mwisho wa utawala wa Wakomunisti ambako jamhuri zote zilitafuta uhuru wao zikaachana na Umoja. Mji mku Sant Peterburg ukabadilishwa jina kuwa [[Leningrad]] na baadaye makao makuu ya nchi yakahamishwa tena kwenda Moscow.▼
▲
Kiongozi aliyemfuata Lenin 1924 alikuwa [[Josef Stalin]] aliyeweza kugeuza utawala wa chama kuwa utawala wake mwenyewe akiongoza kwa jina la Katibu Mkuu wa chama cha kikomunisti.▼
Mji mkuu Sant Peterburg ulibadilishwa jina kuwa [[Leningrad]] na baadaye makao makuu ya nchi yakahamishwa tena kwenda Moscow.
1939 mwanzoni wa [[vita kuu ya pili ya dunia]] Stalin alipatana na Ujerumani wa Adolf Hitler kugawa maeneo ya Poland na [[nchi za Baltiki]] kati yao lakini 1941 Hitler alishambulia pia Umoja wa Kisovyeti. Warusi walipotea askari mamilioni lakini waliweza kuwazuia Wajerumani wasiteke Moscow na Leningrad. Kwa msaada wa [[Marekani]] Warusi waliweza kurudisha jeshi la Ujerumani na kusogea magharibi. Umoja wa Kisovyeti ikawa kati ya nchi washindi wa vita kuu ya pili.▼
▲Kiongozi aliyemfuata Lenin mwaka [[1924]] alikuwa [[Josef Stalin]] aliyeweza kugeuza utawala wa chama kuwa utawala wake mwenyewe akiongoza kwa jina la [[Katibu Mkuu]] wa chama cha kikomunisti.
Mwaka [[1939]], mwanzoni mwa [[vita kuu ya pili ya dunia]] Stalin alipatana na [[Ujerumani]] wa [[Adolf Hitler]] kugawa maeneo ya Poland na [[nchi za Baltiki]] kati yao lakini mwaka [[1941]] Hitler alishambulia pia Umoja wa Kisovyeti.
▲
=== Mashindano ya vita baridi dhidi ya Marekani ===
Tangu mwaka [[1945]] jeshi la Urusi lilikaa katika nchi zote za [[Ulaya ya Mashariki]] hadi katikati ya Ulaya. Katika nchi
Urusi ulikuwa kiongozi wa nchi za kijamaa, ukishindana katika [[vita baridi]] dhidi ya [[nchi za magharibi]] zilizoongozwa na Marekani. Athira ya Umoja wa Kisovyeti ilipanuka hadi [[Afrika]], [[Asia]] na [[Amerika ya Kati]] ambako nchi mbalimbali zilianza kuiga mtindo wa kikomunisti.
=== Kuachana kwa Umoja kwa Kisovyeti ===▼
Utawala wa kikomunisti uliendelea hadi mnamo mwaka 1990. Mwishoni matatizo ya kiuchumi yalizidi kwa sababu mfumo wa uchumi ulioongozwa moja kwa moja na serikali kuu pamoja na utaratibu wa kiimla uliozuia wananchi kupinga siasa ya viongozi na kuleta hoja tofauti ulisababisha tena nchi kubaki nyuma.▼
Tangu 1990 jamhuri kadhaa za Umoja wa Kisovyeti ziliondoka katika umoja na kutangaza uhuru wao ilhali serikali ilishindwa nguvu ya kuwazuia. Mwaka 1991 jamhuri wanachama za mwisho Urusi, Belarus na Ukraine ziliamua kumaliza Umoja wa Kisovyeti.▼
▲Utawala wa kikomunisti uliendelea hadi
▲Tangu mwaka 1990 jamhuri kadhaa za Umoja wa Kisovyeti ziliondoka katika umoja na kutangaza uhuru wao ilhali serikali ilishindwa nguvu ya kuwazuia. Mwaka [[1991]] jamhuri wanachama za mwisho Urusi, Belarus na Ukraine ziliamua kumaliza Umoja wa Kisovyeti.
=== Urusi mpya ===
Tangu mwaka 1991 Urusi
Ma[[rais]] wa Urusi baada ya 1991 walikuwa [[Boris Yeltsin]] na [[Vladimir Putin]]. [[Dmitry Medvedev]] alichaguliwa kuwa rais wa Urusi mwaka 2008 na mtangulizi wake [[Vladimir Putin]] akawa [[waziri mkuu]].▼
Baada ya ukomunisti kuanguka, [[dini]] ulizozipiga vita kwa njia zote kwa miaka mingi zimepata uhai mpya. Siku hizi 3/4 za wakazi ni [[Wakristo]], hasa [[Waorthodoksi]], na 6.5% ni [[Waislamu]].
▲[[Dmitry Medvedev]] alichaguliwa kuwa rais wa Urusi mwaka 2008 na mtangulizi wake [[Vladimir Putin]] akawa waziri mkuu.
==
{{Commons category|Russia}}
* [http://www.novokat.ru
{{Ulaya}}
Line 152 ⟶ 190:
[[Jamii:Nchi za Ulaya]]
[[Jamii:Nchi za G8]]
[[Jamii:Nchi za G20]]
{{Link FA|af}}
|