Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
→Mate: kiungo |
||
Mstari 20:
=== Mate ===
[[Mate]] ni mchanganyiko wa [[maji]], uteute na [[kimeng’enya]] kinachofahamika kama ''salivary amylase'' au [[ptyalin]]. Kazi za mate katika umeng’enyaji ni kama ifuatavyo:
* Maji yaliyo katika mate hutumika katika kuyeyusha chakula.
* Uteute wake hulainisha chakula hivyo chakula huwa rahisi kumezwa.
|