Tanuri la nyuklia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
sahihisho na nyongeza kidogo
Mstari 1:
''Tanuri la nyuklia''' ni [[mtambo]] ambamo [[mchakato]] mfululizo wa nyuklia]] unatokea. [[Mwatuko wa nyuklia]] huzalisha [[joto]] ambalo latumiwa kutengeneza [[umeme]].
[[File:Scwr.svg|thumb|Muundo wa tanuri nyuklia inayopozwa kwa [[maji]]]]
[[File:Three Mile Island (color)-2.jpg|thumb|Tanuri la nyuklia kwenye kituo cha nguvu cha Three Mile Island, [[Marekani]]]]
Mstari 6:
 
==Kiini cha tanuri la nyuklia==
Kiini ni sehemu ya tanuri la nyuklia penye fueli yote na mwatujo[[mwatuko wa nyuklia]] inatokeaunatokea hapa. Kiini ni pia mahali pa kutokea kwa joto. Kiini hutengenezwa ndani ya chumba cha pekee ambacho kina kwanza ukuta wa feleji (mara nyingi tufe) unaozungukwa na ukuta nene wa saruji iliyoimarishwa.
Fueli imo kwa umbo la nondo za urani au plutoni. Nondo la fueli hufanywa kwa pipa la feleji linalojazwa vidonge vya urani. Hapo [[nyutroni]] zinatoka katika [[atomi]] za urani au plutoni zikigonga atomi nyingine na kuzipasua. Kila [[upasuaji]] wa atomi unaachisha [[nishati nyuklia]] inayotokea hasa kwa njia ya joto.