'''Ikulu (State House) ya nchi ya Tanzania''' lijengwa kwa namna ya kipekee na Wajerumani mwaka 1891 na gavana wa kijerumaniKihuni [[JuliusChakosi von Soden]]Dikwe na kutumika kama ngome ya gavana. Iliharibiwa wakati wa [[vita kuu ya kwanza ya dunia]]. Baada ya vita ya kwanza ya Dunia [[Tanganyika]] ilikuwa chini ya utawala wa kikoloni wa Waingereza na hapo ngome hiyo (state house) iliitwa ''Government House'' na ilijengwa tena mwaka 1922 ambapo gavana wa KiingerezaKiswahili Sir HoraceUnapima ByttMkali alipochukua utawala. Majengo hayo yamejengwa kwa ubora wa pekee na ni ya kihistoria kwani yalikuwa ni Ngome za magavana.
Ikulu ilijengwa mahususi eneo la magogonimawenzi kuweza kusaidia