Tanuri la nyuklia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
sahihisho na nyongeza kidogo
No edit summary
Mstari 1:
'''Tanuri la nyuklia''' ni [[mtambo]] ambamo [[mchakato mfululizo wa nyuklia]] unatokea. [[Mwatuko wa nyuklia]] huzalisha [[joto]] ambalo latumiwa kutengeneza [[umeme]].
[[File:Scwr.svg|thumb|Muundo wa tanuri nyuklia inayopozwa kwa [[maji]]]]
[[File:Three Mile Island (color)-2.jpg|thumb|Tanuri la nyuklia kwenye kituo cha nguvu cha Three Mile Island, [[Marekani]]]]
Mstari 6:
 
==Kiini cha tanuri la nyuklia==
Kiini ni sehemu ya tanuri la nyuklia penye fueli yote na [[mwatuko wa nyuklia]] unatokea hapa. Kiini ni pia mahali pa kutokea kwa joto. Kiini hutengenezwa ndani ya [[chumba]] cha pekee ambacho kina kwanza [[ukuta]] wa [[feleji]] (mara nyingi [[tufe]]) unaozungukwa na ukuta nene wa [[saruji]] iliyoimarishwa.
Fueli imo kwa [[umbo]] la nondo za urani au plutoni. Nondo la fueli hufanywa kwa [[pipa]] la feleji linalojazwa vidonge vya urani. Hapo [[nyutroni]] zinatoka katika [[atomi]] za urani au plutoni zikigonga atomi nyingine na kuzipasua. Kila [[upasuaji]] wa atomi unaachisha [[nishati nyuklia]] inayotokea hasa kwa njia ya joto.
 
Kiasi cha nyutroni kinachopatikana kwa kazi hii hutawaliwa kwa kuingiza au kuondoa [[nondo dhibiti]]. Hizi nondo dhibiti hujaa vidonge vya [[bori]] au [[kadmi]] na kuzuia mwendo wa nyutroni. Kadri

Kadiri nondo dhibiti zinaingizwa kwa wingi zaidi kati ya nondo za fueli, uenezaji wa nyutroni kutoka urani au plutoni unapungua ni vyivyovivyo hivyo kadrikadiri nondinondo zibitidhibiti zinatolewazinavyotolewa mwendo wa nyutroni unaongezeka, na hivyo kuongeza kiasi cha nyutroni zinazogonga na kupasua atomi nyingine - au kupungukiwa. Kuingiza na kuondoa nondo dhibiti ni njia ya kusimamia tanuri na joto lake.
 
==Uzalishaji umeme==