Julius Caesar : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
'''Gaius Julius Caesar''' (''tamka gayus yulius kaesar''<ref>Kwa matamshi ya Kilatini sanifu cha Kale herufi "C" ilikuwa na matamshi ya "K"; katika matamshi ya karne za baadaye ilikuwa zaidi "S" kwa hiyo "Sesar"; kutoka hapa inakuja matamshi ya Kiingereza "Sizar"</ref> - [[100 KK|100]] - [[44 KK]]) alikuwa kiongozi Mroma wa kisiasa na wa kijeshi.
Amekumbukwa hasa kwa mafanikio mbalimbali yanayoonekana hadi leo.
 
Mstari 32:
Miaka miwili baada ya kifo chake bunge lilimtangaza Caesar ndiye mungu.
 
==Marejeo==
<references/>
 
{{DEFAULTSORT:Caesar, Julius}}