Sukulenti : Tofauti kati ya masahihisho

4 bytes added ,  miaka 8 iliyopita
kiungo
No edit summary
(kiungo)
[[Picha:Split Aloe.jpg|300px|thumbnail|Jani la Aloe lililokatwa; utomvu unatoka nje]]
'''Sukulenti''' ([[lat.]] ''sucus'' = utomvu; [[ing.]] ''succulents'') au '''Mimea wenye utomvu mwingi''' ni [[mimea]] iliyojitohoa kwa maisha katika mazingira [[Tabianchi#B:_Tabianchi_yabisi_au_nusuyabisi|yabisi]].
 
Mimea hii ya [[Familia (biolojia)|familia]] na [[jenasi]] tofauti ina uwezo wa kutunza maji ndani ya [[jani|majani]] au [[shina|mashina]] yao. Kwa hiyo mara nyingi ama majani au shina ni nono kutokana na uwingi wa [[utomvu]] ndani yao.
Anonymous user