Ugonjwa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Picha:Italienischer Maler des 17. Jahrhunderts 001.jpg|300px|thumbnail|Unene wa kipindukia iitazamiwa kama dalili ya cheo kaika jamii nyingi -leo hii hutazami...' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 17:18, 4 Desemba 2014
Ugonjwa ni hali ya mvurugo katika utendaji wa kawaida wa shughuli za mwili na roho inayoathiri vibaya starehe ya kiumbehai. Hakuna tofauti kamili baina ya ugonjwa na hali ya kujisikia vibaya.
Sayansi inachochungulia magonjwa ni tiba
Siku hizi magonjwa hupangwa kufuatana na sababu zao kama vile
- magonjwa ya kuambukizwa
- magonjwa ya kurithiwa
- magonjwa kutokana na ajali
- magonjwa kutokana na dutu za nje ya mwili (sumu, asidi ) au moto
- magonjwa ya kansa
- magonjwa yaliyosababishwa na tiba
- magonjwa yaliyosababishwa na mfumo wa kinga mwilini
- magonjwa ya roho