Kulungu pembe-nne : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Nyongeza jamii |
Badilisha jina la mnyama huyu kuwa "kulungu pembe-nne". |
||
Mstari 1:
{{Uainishaji
| rangi = #D3D3A4
| jina =
| picha = Four-horned_Antelope.JPG
| upana_wa_picha = 250px
| maelezo_ya_picha =
| himaya = [[Mnyama|Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
Mstari 13:
| bingwa_wa_familia = [[John Edward Gray|J. E. Gray]], 1821
| nusufamilia = [[Bovinae]] <small>(Wanyama wanaofanana na ng'ombe)</small>
| jenasi = ''[[Tetracerus]]'' <small>(Wanyama kama
| bingwa_wa_jenasi = [[William Elford Leach|Leach]], 1825
| spishi = ''[[
| bingwa_wa_spishi = ([[Henri Marie Ducrotay de Blainville|de Blainville]], 1816)
| subdivision = Nususpishi 3:
Mstari 23:
<!--
| ramani = Tetracerus quadricornis map.png
| maelezo_ya_ramani = Usambazaji wa
-->
}}
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
'''
== Maelezo ==
[[Picha:Vierhornantilope.jpg|thumb|left|
Kipengele cha mnyama huyo kisicho cha kawaida ni kuwepo kwa pembe nne; kipengele cha pekee miongoni mwa wanyama hai. Madume tu wana pembe, kwa kawaida wakiwa na pembe mbili kati ya masikio na mbili zaidi mbele yao pajini. Pembe za kwanza hutokea alipo na umri wa miezi michache tu, na za pili hutokea baada ya miezi 10 au 14. Pembe hizo haziambuliwi kamwe, ingawa labda zitadhuriwa wakati wa kupigana. Madume wazima wengine hawana pembe; hasa kwa nususpishi ''T. q. subquadricornis'' jozi ya pembe za mbele hazipo, au zipo kama nundu ndogo bila nywele. Jozi ya pembe za nyuma hufika urefu wa sm 7–10, huku jozi ya mbele ni kwa kawaida ndogo zaidi, sm 2–5 tu.<ref name=Leslie2009/>
== Usambazaji na makazi ==
[[Picha:Tetracerus quadricornis map.png|thumb|Usambazaji wa
== Mwenendo ==
== Uzazi ==
[[Picha:ChousinghaHead.jpg|left|thumb|Kichawa cha
Msimu wa kupandisha hudumu toka Mai mpaka Julai, na madume na majike kwa kawaida hubaki mbali kwa salio la mwaka. Mwenendo wao wa ubembe ni kuwa dume na jike kupiga magoti na kusukumana huku shingo zao kufungamana, yakifuatwa na dume kutamba. Kipindi cha kubeba mimba ni takribani miezi minane, halafu ndama mmoja au wawili huzaliwa. Wakati wa kuzaliwa, ndama wana urefu wa sm 42–46, na uzito wa kilo 0.74–1.1. Ndama hubaki pamoja na mama wao kwa mwaka moja, na huweza kuzaa wakiwa na umri wa miaka miwili.<ref name=Leslie2009/>
== Hifadhi ==
Kwa sababu anaishi katika sehemu ya dunia yenye idadi kubwa ya watu,
== Hali ya sasa ==
== Marejeo ==
|