Kiambelau : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Kiambelau''' ni lugha ya Kiaustronesia nchini Indonesia inayozungumzwa na Waambelau kwenye kisiwa cha Ambelau. Mwaka wa 19...' |
d +mabano using AWB |
||
Mstari 1:
'''Kiambelau''' ni [[Lugha za Kiaustronesia|lugha ya Kiaustronesia]] nchini [[Indonesia]] inayozungumzwa na [[Waambelau]] kwenye kisiwa cha [[Ambelau]]. Mwaka wa 1989 idadi ya wasemaji wa Kiambelau imehesabiwa kuwa watu 5,700. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiambelau iko katika kundi la Kimaluku.
==Viungo vya nje==
|