Sagara : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Tengua pitio 935988 lililoandikwa na Syum90 (Majadiliano) banditen fick aus
Reverted to revision 935988 by Syum90. (TW)
Mstari 1:
'''{{BASEPAGENAME}}''' ni jina la kata ya [[Wilaya ya Kongwa]] katika [[Mkoa wa Dodoma]], [[Tanzania]]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa [[2002]], kata ina wakazi wapatao 18,197 waishio humo.<ref>{{cite web|url=http://www.tanzania.go.tz/census/census/districts/kongwa.htm|title=Ripoti Kuu ya Hesabu ya Sensa ya Watu na Makazi kwa Mwaka wa 2002|publisher=Serikali ya [[Tanzania]]|language=en|accessdate=|archiveurl=http://web.archive.org/web/20040102081907/http://www.tanzania.go.tz/census/census/districts/kongwa.htm|archivedate=2004-01-02}}</ref>
 
Makabila yaishiyo sagara kwa wingi ni Wakaguru na Wagogo. Sagara ni makao makuu ya kata ya sagara. Kata hii ina jumla ya vijiji 5 : Sagara A na B, Msingisa, Ijaka, Laikala. Kijiji cha Sagara kina madhali nzuri kiasi, kina maji ya kutosha kutoka kwenye chanzo cha maji; wanakijiji hawanunui maji. Kuna shule ya sekondari moja na shule za msingi mbili 2mbili1.
 
==Marejeo==
Mstari 10:
{{mbegu-jio-dodoma}}
 
[[Jamii:Mkoa wa Dodoma]]
[[Jamii:Wilaya ya Kongwa]]