Émile Durkheim : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d +kiungo |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Emile Durkheim.jpg|thumb||Emile Durkheim]]
'''Émile Durkheim''' ([[15 Aprili]] [[1858]] – [[15 Novemba]] [[1917]]) alikuwa [[mtaalamu]] kutoka
==Maisha==
▲Aliunda mbinu za kuchungulia muundo wa jamii.
Durkheim alizaliwa na [[mwalimu]] wa [[Myahudi|Kiyahudi]] katika jimbo la [[Lorraine]].
Alisoma kwenye chuo cha [[École Normale Supérieure]].
* [http://www.emile-durkheim.com/ Maisha ya Émile Durkheim ([[Kiing.]])]▼
Aliingia katika [[utumishi]] wa [[serikali]] na tangu mwaka [[1902]] alikuwa [[profesa]] wa ualimu kwenye [[chuo kikuu]] cha [[Sorbonne]], [[Paris]].
Kutokana na kazi zake [[taasisi]] yake ilibadilishwa kuwa taasisi ya kwanza ya sayansi ya jamii duniani.
== Viungo vya nje ==
{{mbegu-mwanasayansi}}
{{BD|1858|1917|Durkheim, Emile}}
[[Jamii:Wanasayansi wa Ufaransa]]
[[Jamii:Elimu jamii]]
|