Medici : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 2:
[[Picha:Cosimodemedicitheolder.jpg|thumb|250px|Cosimo di Medici (1389-1464)) mtawala wa Firenze]]
 
'''Medici''' ni jina la [[familia]] ya [[Firenze]] katika [[Italia]] ya Kati iliyokuwa muhimu kisiasaupande wa [[siasa]], kiuchumi[[uchumi]] na kiutamaduni[[utamaduni]], hasa wakati wa [[karne zaya 15]] na 16[[karne BK.ya Mapapa watatu wa kanisa katoliki16|16]] walikuwa Wamedici pamoja na watawala mbalimbali za mji wa Firenze na watoto wao walioa au kuolewa katika familia za wafalme wa Ulaya[[BK]].
 
Ma[[papa]] watatu wa [[Kanisa Katoliki]] walikuwa wa [[ukoo]] huo, pamoja na watawala mbalimbali za [[mji]] wa Firenze; watoto wao walioa au kuolewa katika familia za wafalme wa [[Ulaya]].
Walijenga utajiri katika biashara ya kitambaa wakaendelea kuunda benki kadhaa zilizokuwa aina mpoya ya biashara wakati ule. Uwezo wao wa kiuchumi walitumia baadaye kisiasa.
 
Walijenga [[utajiri]] katika [[biashara]] ya [[kitambaa]] wakaendelea kuunda [[benki]] kadhaa zilizokuwa aina mpoya ya biashara wakati ule. [[Uwezo]] wao wa kiuchumi walitumiawaliutumia baadaye kisiasa.
Watawala na mapapa Wamedici waliajiri wasanii wengi na kugharamaia pia wataalamu hivyo wakajenga kipindi cha utamaduni wa juu cha Italia kilichong'aa kote [[Ulaya]].
 
Watawala na mapapaMapapa Wamediciwa ukoo wa Medici waliajiri [[wasanii]] wengi na kugharamaiakugharimia pia [[wataalamu]], hivyo wakajenga kipindi cha utamaduni wa juu cha Italia kilichong'aa kote [[Ulaya]].
== WamediciAkina Medici mashuhuri ==
* [[Salvestro de' Medici]] ([[1331]][[1388]]) alikuwa wa kwanza wa familia aliyetawala Firenze hadi [[1382]]
* [[Giovanni di Bicci de' Medici]] ([[1360]][[1429]]) aliongeza utajiri wa [[nyumba]] hadi kuwa familia tajiri ya Ulaya
* [[Cosimo de' Medici|Cosimo Mzee]] ([[1389]][[1464]]) alianzisha mfululizo wa watawala Wamdediciwa Medici wa Firenze
* [[Lorenzo de' Medici]] ([[1449]][[1492]]) [[mtawala]] wa Firenze aliyetumia [[pesa]] nyingi kwa [[sanaa]] na wasanii
* Giovanni de' Medici ([[1475]][[1523]]) aliyekuwaalipata kuwa [[Papa Leo X]]
* Giulio de' Medici ([[1478]][[1534]]) aliyekuwaalipata kuwa [[Papa Klementi VII]]
* [[Cosimo I de' Medici]] ([[1519]][[1574]]) aliendelea kuwa mtemi wa [[ToskanaToscana]]
* [[Catherine de' Medici]] (1519 – [[1589]]), Queen[[malkia]] ofwa [[Ufaransa]]
* Alessandro Ottaviano de' Medici ([[1535]][[1605]]) aliyejulikanaalijulikana kama [[Papa Leo XI]]
* [[Marie de' Medici]] ([[1575]][[1642]]) aliyekuwaalikuwa malkia wa [[Ufaransa]]
* [[Anna Maria Luisa de' Medici]] ([[1667]][[1743]]) alikuwa mtemi wa [[Toskanamtemi]] wa Toscana na mwisho wa familia ya Medici alieyeagaaliyeaga dunia bila watoto.
 
== Viungo vya Nje ==
Line 28 ⟶ 30:
* [http://www.paradoxplace.com/Perspectives/Italian%20Images/Montages/Firenze/Medici%201.htm Adrian Fletcher’s Paradoxplace – 3 pages of Medici portraits and history]
* [http://www.medici.org Medici Archive Project]
 
{{mbegu-mtu}}
 
[[Jamii:Watu wa Italia]]
[[Jamii:Wanasiasa]]