Pitcairn : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 88 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q35672 (translate me)
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Bounty bay.jpg|thumb|300px|Hori la Bounty kwenye Pitcairn; nyumba za Adamstown zaonekana upande wa kulia juu]]
[[Picha:Pitcairn Islands-CIA WFB Map.png|thumb|right|Ramani ya visiwa]]
'''Pitcairn''' ni [[kisiwa]] katika [[Pasifiki]] na pia jina la kundi la visiwa[[funguvisiwa]] ambalo ni [[eneo la ng'ambo la Uingereza]] la pekee katika Pasifiki. Visiwa vingine havina wakazi.
 
Mji[[Makao mkuumakuu]] ni [[kijiji cha]] pekee cha '''[[Adamstown''']].
 
==Jiografia==
Pitcairn ni kisiwa chenye asili ya kivolkenoki[[volkeno]]. Eneo lake ni 4.6 km² na idadi ya wakazi ni 46.
 
Visiwa vingine ni [[atolli]] za Oeno, Henderson na Ducie ambavyo havina wakazi. Watu walio karibu wako kwenye [[kisiwa cha Pasaka]] (2,000 km) na kwenye [[Polynesia ya Kifaransa]] (500 km).
 
==Historia==
Hakuna uhakika kuhusu wakazi na wageni wa PitvcairnPitcairn kabla ya kugunduliwa na [[kijana]] Pitcairn kwenye [[jahazi]] ya Kiingereza mwaka [[1767]]. Inaaminiwa ya kwamba Wapolynesia[[Wapolinesia]] walikalia visiwa tangu [[karne]] kadhaa, lakini hakuna uhakika kama walikuwepo bado wakati wa kufika kwa [[Wahispania]] waliopita sehemu hizi katika [[karne ya 17]]. Kwa vyovyote [[Waingereza]] hawakukuta tena watu.
 
Tangu mwaka [[1790]] kisiwa kilikaliwa na [[waasi wa Bounty]] iliyokuwa jahazi ya Kiingereza ambakoambamo ulitokea [[uasi]] wa mabahariama[[baharia]] dhidi ya [[nahodha]]. Waasi waliamua kujificha kwa sababu waliogopa hukumu[[adhabu ya mautikifo]] kulingana na [[sheria]] za uingereza[[Uingereza]] za wakati ule. Wakazunguka [[bahari]] pamoja na [[wanawake]] wa [[Tahiti]] wakakuta Pitcairn wakajenga makazi yao kisiwani.
 
Mwaka [[1838]] kisiwa kilitangazwa kuwa [[koloni]] yala Uingereza.
 
Mwaka [[1856]] watu wa Pitcairn walihamishwawalihamishiwa [[Kisiwakisiwa cha Norfolk]] kwa sababu walikuwa wengi mno kulingana na udogo wa kisiwa hata wakaona [[njaa]]. Lakini [[familia]] tano waliamua kurudi tena na walendio ni mababuma[[babu]] wa wakazi wa leo.
 
==Uchumi==
[[Uchumi]] unategemea hasa [[kilimo cha kijungujiko]] na misaada kutoka Uingereza. Mara chache kisiwa kinatembelewa na watalii.
 
==Viungo vya Njenje==
*[https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/pc.html#People the cia gov factbook]
* http://www.lareau.org/pitcairn2.gif Ramani