Wallis na Futuna : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 85 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q35555 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:LocationWallisAndFutuna.png|thumb|300px|
'''Wallis na Futuna''' ni [[eneo la ng'ambo la Ufaransa]] katika [[Bahari ya Pasifiki]] kati ya [[Fiji]] na [[Samoa]].
Eneo lake ni visiwa vitatu vyenye jumla ya [[kilomita za mraba]] 274
Idadi ya wakazi ni 13,000. Kwa upande mmoja kuna kisiwa cha Wallis na kwa upande mwingine visiwa vya Futuna. Umbali kati yake ni takriban [[kilomita]] 200.
Wakazi walio wengi ni Wa[[polynesia]] wakiongea lugha za Kipolynesia pamoja na Kifaransa.▼
▲Wakazi walio wengi ni Wa[[polynesia]] wakiongea [[lugha]] za [[Kipolynesia]] pamoja na [[Kifaransa]].
Wakazi walio wengi huishi kwa kilimo cha kujikimu. Uchumi hutegemea misaada kutoka Ufaransa. Katika miaka iliyopita utalii umeanza kuchangia katika pato.▼
▲Wakazi walio wengi huishi kwa [[kilimo]] cha kujikimu. [[Uchumi]] hutegemea misaada kutoka [[Ufaransa]]. Katika miaka iliyopita [[utalii]] umeanza kuchangia katika pato.
{{mbegu-jio}}
|