Siasa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q7163 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 6:
Hapo chini, mifumo mingine ya kisiasa huelezwa kifupi:
==Utawala wa Kifalme==
ni mfumo wa kiuongozi unaompa mamlaka ya dola na serikali Mfalme. Katika mfumo huu madaraka hurithiwa na familia ya kifalme. ==Utawala wa Kiimla==
ni mfumo wa kiuongozi unaotoa madaraka yasiyo na mipaka kwa kiongozi. Katika utawala huu watu binafsi hawana haki na uhuru wa kimaamuzi. ==Utawala finyu==
==Utawala wa Umma== ni utawala unaotokana na jamii kuamua misingi ya kujiongoza. Mfumo huu wa utawala hujulikana kama Utawala wa Kidemokrasia na umegawanyika katika sehemu nne.▼
==Utawala wa Umma==
▲
==Demokrasia Duni== ni aina ya demokrasia inayotokana na makundi ya watu na kisha kupitia makundi hayo watu kuunda serikali mf- chama - serikali.▼
==Demokrasia Baguzi==
==Demokrasia Endelevu== ni aina ya demokrasia inayotoa fursa ya usawa na kupinga matabaka katika jamii.▼
==Demokrasia Duni==
==Demokrasia== ni mfumo unatoa fursa ya madaraka kwa umma moja kwa moja au kutokana na kuwakilishwa.▼
▲
==Demokrasia Endelevu==
▲
==Demokrasia Shirikishi==
- Katika aina hii ya Demokrasia wachache hupewa dhamana na wengi katika uwakilishi wa jamii katika maamuzi.
==Demokrasia==
▲
|