Uongozi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 4:
 
==Maana ya uongozi==
Uongozi ni dhana, taaluma inayompa muhusikamhusika madaraka na uwezo wa kuwawezesha wale wanaongozwa kuunganisha nguvu,stadi na vipaji vyao na kuvitumia ili kufikia malengo yao. Kuongoza ni kujua lengo la wale wanaoongozwa na njia ya kufikia lengo lao.
 
==Aina za uongozi==
Mstari 29:
Kiongozi ni lazima awe na ufahamu mkubwa juu ya taasisi anayoiongoza, malengo yake, mazingira na matatizo yake.
 
ii. UaminifuAwe mwaminifu.
Kila taasisi inalenga kufikia lengo fulani. Ni wajibu wa kiongozi kuwaongoza wana taasisi ili wafikie malengo yao. Kwa hiyo kiongozi ni lazima aweze kubuni mikakati na mbinu zitakazoiwezesha taasisi anayoongoza kufikia malengo yake.
 
iii. Mwenye Maadili mema.
Kiongozi ni lazima akubalike katika jamii na taasisi anayoiongoza. Ili akubalike ana budi kuzingatia maadili ya msingi ya jamii na taasisi yake. Kiongozi mwongo, mlevi, mvivu, asiye mwaminifu n.k hawezi kuwa kiongozi mzuri.
 
iv. UchaMcha Mungu.
 
[[Jamii:Jamii]]