Siasa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
'''Siasa''' ni njia ya kufanya [[maamuzi]] katika [[taifa]], [[mji]] au hata [[dunia]] nzima ([[siasa ya kimatatifa]]). Sehemu muhimu ya siasa ni [[majadiliano]] kati ya watu mbalimbali wenye [[nguvu]] au [[mamlaka]].
==Siasa==
Siasa ni njia ya kufanya [[maamuzi]] katika [[taifa]], [[mji]] au hata [[dunia]] nzima ([[siasa ya kimatatifa]]). Sehemu muhimu ya siasa ni [[majadiliano]] kati ya watu mbalimbali wenye [[nguvu]] au [[mamlaka]].
 
Sehemu muhimu ya siasa ni [[majadiliano]] kati ya watu mbalimbali wenye [[nguvu]] au [[mamlaka]].
Katika [[demokrasia]] kila mtu ana kiasi fulani cha nguvu, na kwa hiyo siasa ya demokrasia ina maana ya watu wote kujadiliana kuhusu maamuzi.
==Mifumo ya Siasa==
Hapo chini, mifumo mingine ya kisiasa huelezwa kifupi:
 
Katika [[demokrasia]] kila mtu ana kiasi fulani cha nguvu, na kwa hiyo siasa ya demokrasia ina maana ya watu wote kujadiliana kuhusukuchangia maamuzi.
==Utawala wa Kifalme==
 
ni mfumo wa kiuongozi unaompa mamlaka ya dola na serikali Mfalme. Katika mfumo huu madaraka hurithiwa na familia ya kifalme.
HapoHapa chini, mifumo mingine ya kisiasa huelezwa kifupi:
 
==Utawala wa Kifalme==
ni mfumo wa kiuongoziuongozi unaompa mamlaka ya [[dola]] na ya [[serikali]] [[Mfalme]]. Katika mfumo huu [[madaraka]] hurithiwa na mtu wa [[familia]] ya kifalme.
==Utawala wa Kiimla==
ni mfumo wa kiuongoziuongozi unaotoa madaraka yasiyo na mipaka kwa [[kiongozi]]. Katika utawala huu watu binafsi hawana [[haki]] na [[uhuru]] wakatika kimaamuzimaamuzi.
==Utawala finyu==
ni mfumo unaowapa wachache nguvu za maamuzi katika dola na serikali. Nafasi ya wachache hawa hutokana na [[haiba]] na [[uwezo]] wao kiuchumiki[[uchumi]], kijamiiki[[jamii]], kijeshiki[[jeshi]] au kutokana na mafanikio yao katika nyanja mbalimbali za maisha. Mfumo huu ni nadra sana katika siku za hivi karibuni. Pia waweza kuitwa utawala wa makabailama[[kabaila]].
==Utawala wa Umma==
ni utawala unaotokana na jamii kuamua misingi ya kujiongoza. Mfumo huu wa utawala hujulikana kama Utawala wa Kidemokrasia na umegawanyika katika sehemu nne.
===Demokrasia Baguzi===
ni aina ya Demokrasia inayojikita katika kulinda nguvu za kiuchumi zaidi.
===Demokrasia Duni===
ni aina ya demokrasia inayotokana na makundi ya watu na kisha kupitia makundi hayo watu kuunda serikali mf-mfano: [[chama]] - serikali.
===Demokrasia Endelevu===
ni aina ya demokrasia inayotoa [[fursa]] ya [[usawa]] na kupinga matabakama[[tabaka]] katika jamii.
===Demokrasia Shirikishi===
- Katikakatika aina hii ya Demokrasia wachache hupewa [[dhamana]] na wengi katika [[uwakilishi]] wa jamii katika maamuzi.
==Demokrasia==
ni mfumo unatoa fursa ya madaraka kwa [[umma]] moja kwa moja au kutokana na kuwakilishwa.
 
{{mbegu}}
 
[[Jamii:Siasa]]