Kampeni za Kivita katika Afrika ya Mashariki (Vita ya Kwanza ya Dunia) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 9 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q705571 (translate me)
No edit summary
Mstari 40:
Katika Septemba 1918 alipata habari ya kwamba Waingereza walikuwa nyuma yake kwa jeshi kubwa. Hapa aliamua kurudi Tanganyika na kuelekea Rhodesia kwa sababu habari zilimfikia ya kwamba Waingerea hawakuwa tena na jeshi huko. Tarehe 28 Septemba alivuka tena [[mto Rovuma]] akaendelea katika sehemu za kusini kupitia Songea na Mbozi. Mwezi wa Novemba aliingia Rhodesia ya Kaskazini. Tarehe 13 Novemba kikosi chake kiliteka mji wa [[Kasama]] ambako Waingereza wachache walikimbia walpomwona. Siku iliyofuata afisa Mwingereza alikaribia kambi yake na kumletea habari ya kwamba vita ilikwisha tayari na Ujerumani iliwahi kusimamisha mapigano yote tangu 11 Novemba 1918. Lettow alipatana na Waingereza kuongoza askari hadi mji wa Abercorn (leo [[Mbala, Zambia]]) aliposalimisha amri tarehe 23 Novemba 1918.
 
==Tanbihi==
{{marejeo}}
 
==Marejeo==
==Bibliografia na masomo zaidi==
*Pugu Hadi Peramiho - kimehaririwa na P. Gerold Rupper, OSB, BPNP, Peramiho 1988, ISBN 9967 67 031 1
*Abbott, Peter. ''Armies in East Africa 1914–1918''. Osprey, 2002 ISBN 1-841-76489-2
*Anderson, Ross. ''The Forgotten Front: The East African Campaign: 1914–1918''. Tempus Publishing, Ltd. 2004 ISBN 0-752-42344-4
Line 62 ⟶ 65:
*Stevenson, William. ''The Ghosts of Africa''. New York: Ballantine Books. 1981 ISBN 0-345-29793-8 (fictionalized account)
*Young, F. Brett. "Marching on Tanga." New York: E.F. Dutton & Co. 1917.(Medical officer's account of campaigning with General Smuts.)
 
==Marejeo==
{{marejeo}}
 
{{Tanzania topics}}