Hiroshima : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 92 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q34664 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 21:
}}
[[Picha:Flag of Hiroshima City.png|left|80px|Bendera ya mji.]]
[[Picha:HiroshimaGembakuDome.jpg|thumb|260px|[[Jengo]] la "[[Kuba ya Bomu
'''Hiroshima'''
Kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika mwaka wa [[2009]], [[mji]] huo una wakazi wapatao milioni 1.2.
Mji umekuwa maarufu duniani kwa sababu ilikuwa mji wa kwanza katika historia iliyoshambuliwa kwa [[bomu ya nyuklia]] tar. [[6 Agosti]] [[1945]]. Ndege ya kivita ya [[Marekani]] ikatupa bomu moja iliyoua watu 75,000 mara moja na takriban 60,000 wengine walikufa baadaye kutokana na [[mnururisho wa kinyuklia]]. Wengine waliendlea kufa kwa sababu ya kansa iliyosababishwa na mnururisho.▼
Uko kwenye [[kisiwa]] cha [[Honshu]].
Mji ukajengwa upya baada ya [[vita kuu ya pili ya dunia]]. Jengo la "Kuba ya Bomu ya nyuklia" ni ghofu la nyumba linalohifadhiwa kama kumbukumbu ya mlipuko. Imeingizwa katika orodha ya [[urithi wa dunia]].▼
▲Mji umekuwa maarufu
▲Mji ukajengwa upya baada ya [[vita kuu ya pili ya dunia]]. Jengo la "Kuba ya Bomu ya nyuklia" ni ghofu la nyumba linalohifadhiwa kama kumbukumbu ya mlipuko. Imeingizwa katika [[orodha]] ya [[urithi wa dunia]].
== Tovuti za Nje ==
* [http://www.city.hiroshima.jp/e/index-E.html Tovuti rasmi]
* [http://ww2db.com/battle_spec.php?battle_id=49 WW2DB:
{{mbegu-jio-Japani}}
Line 39 ⟶ 43:
[[Jamii:Chūgoku]]
[[Jamii:Mkoa wa Hiroshima]]
[[Jamii:Honshu]]
[[Jamii:Vita vikuu vya pili]]
|