Hifadhi ya Arusha : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 16 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q716801 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 4:
====Maeneo makubwa na muhimu ya hifadhi====
*[[Bonde la Ngurdoto]] (''Ngurdoto crater'')
*[[Maziwa ya
*[[Mlima Meru]] wenye urefu wa meta 4566 (futi 14990) hali inayofanya hifadhi kuwa na mazingira ya baridi.
Hifadhi hii ni maarufu kwa wanyama jamii ya [[tumbili]] wajulikanao kama mbega weusi na weupe. Wanyama wengine wanaopatikana kwa wingi katika hifadhi hii ni pamoja
Zaidi ya aina 400 za ndege wamethibitika kupatikana ndani ya hifadhi hii.
====Mambo yanayoweza kufanyika ndani ya hifadhi hii====
Safari za miguu na kupanda mlima Meru ni moja ya burudani muhimu katika hifadhi hii
Wakati mzuri wa kutembelea hifadhi hii ni kati ya mwezi Juni na Februari ingawa mvua inaweza kunyesha mwezi novemba.
|