Mlima Meru : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 28 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q309098 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[picha:mount_meru_sat_photo.jpg|right|thumb|250px|Mlima Meru kutoka juu]]
'''
Mlima Meru unapatikana ndani ya [[Hifadhi ya Arusha]] ambayo ilianzishwa mwaka 1960 ambapo wanyama pori kuzunguka [[Maziwa ya Momella]] na Volcano ya Ngurudoto (''Ngurudoto crater'') walihifadhiwa na kulinwa katika eneo hili.
Hifadhi hii ina ukubwa wa kilometa za mraba 137 na ipo umbali wa kilometa 35 kutoka katika mji wa kitalii wa [[Arusha]] na [[Uwanja wa
Vivutio katika hifadhi hii vinajumuisha [[volkeno]], maziwa, [[
▲Vivutio katika hifadhi hii vinajumuisha [[volkeno]], maziwa, [[Misitu]] na wanyama pori kama twiga, tembo, pundamilia, nyati na wengine wengi. Pia kuna ndege wa aina nyingi wakiwemo ''flamingo'', pia misitu katika mlima Meru ni makazi ya nyani.
Kupanda Mlima Meru inachukua siku tatu hadi nne na wakati mzuri wa kupanda mlima ni kuanzia mwezi Juni hadi Februari ambapo mvua zinaweza kunyesha katika mwezi wa Novemba. Na wakati mzuri wa kuona Kilimanjaro kutokea Meru ni mwezi kati ya Desemba na Februari.
|