Ustaarabu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Ustaarabu''' ni aina ya [[utamaduni]] uliyoendelea.
[[Picha:Egypt.Giza.Sphinx.02.jpg|300px|thumbnail|Ustaarabu wa [[Misri ya Kale]] ulibuni
Katika [[fani]] ya [[historia]] "ustaarabu" (kwa [[
Katika historia ustaarabu kwa maana hii ulitokea penye [[kilimo]] ambako wakulima walianza kutoa sehemu ya
[[Miji]] ilitokea ambako sehemu ya watu haikuzalisha [[chakula|vyakula]] bali kushughulika na kazi za pekee. Mahitaji ya kusimamia na kupanga [[kodi]] na mahitaji mengine ya [[utawala]] yalisababisha kutokea kwa [[mbinu]] za
Kwa maana hii "ustaarabu" hutazamiwa tofauti na maisha katika hali ya jumuiya ndogo ambako watu huishi katika koo ndogo za wakusanyaji, au
Kati ya ustaarabu wa kwanza zinazojulikana katika historia kuna [[Mesopotamia]], [[Misri ya Kale]], [[Uhindi]] na [[China]] ambako ugawaji wa [[maji]] ya mito mikubwa katika [[mazingira]] yabisi yalikuwa msingi wa [[ushirikiano]] wa watu katika maeneo makubwa.▼
▲Kwa maana hii "ustaarabu" hutazamiwa tofauti na maisha katika hali ya jumuiya ndogo ambako watu huishi katika koo ndogo za wakusanyaji, au makabila madogo yanayofuata zaidi mila na desturi lakini hawana mamlaka ya juu inayogharamiwa na wote.
{{mbegu-historia}}
▲Kati ya ustaarabu wa kwanza zinazojulikana katika historia kuna [[Mesopotamia]], [[Misri ya Kale]], Uhindi na China ambako ugawaji wa maji ya mito mikubwa katika mazingira yabisi yalikuwa msingi wa ushirikiano wa watu katika maeneo makubwa.
[[Jamii:Elimu jamii]]
[
|