Urithi wa Dunia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q9259 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Urithi wa Dunia''' ni maeneo yenye thamani kubwa ya ki[[utamaduni]] au ki[[mazingira]] duniani yanayoangaliwa na shirika la [[UNESCO]].
Hadi mwisho wa mwaka [[
[[Afrika]] ina mahali 91.
Orodha rasmi ya UNESCO ina mahali 689 pa urithi wa dunia wa kiutamaduni na mahali 176 pa urithi wa dunia wa kimazingira, mbali ya 25 pa mseto. ▼
▲Orodha rasmi ya UNESCO ina mahali
Mwanzo wa jitihada za kuhifadhi urithi wa dunia ulikuwa ujenzi wa [[bwawa]] la [[Assuan]] lililoelekea kuzamisha majengo mbalimbali ya utamaduni wa [[Misri]] na [[Nubia]] wa kale chini ya [[maji]]. Wakati ule UNESCO ilifaulu kukusanya [[pesa]] ili [[hekalu]] la [[Abu Simbel]] liweze kuhamishwa mlimani kabla ya kujaa kwa bwawa.
Line 20 ⟶ 22:
== Viungo vya nje ==
* [http://whc.unesco.org/ Tovuti rasmi kwa Kiingereza]
{{mbegu}}
[[Jamii:Umoja wa Mataifa]]
|