Namba tasa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Namba tasa''' ni [[namba asilia]] isiyogawiwa kwa [[namba]] nyingine isipokuwa kwa [[moja|1]] na kwa namba yenyewe. Kwa [[Kiingereza]] zaitwa "prime numbers".
Mfano:
Mstari 7:
Idadi ya namba tasa haina mwisho na thelathini za kwanza ni 2, 3, 5, 7, 11, 13, 17, 19, 23, 29, 31, 37, 41, 43, 47, 53, 59, 61, 67, 71, 73, 79, 83, 89, 97, 101, 103, 107, 109, 113.
1 haihesabiwi kama namba tasa kwa sababu inagawiwa kwa 1 tu hakuna namba ya pili. [[sifuri|0]] si namba tasa kwa sababu hairuhusiwi kugawa kwa 0.
Namba zote nyingine zisizo namba tasa huitwa [[namba kivunge]] na zinaweza kupatikana kwa kuzidisha namba asilia mbili.
[[Picha:Sieve_of_Eratosthenes_animation.gif|thumb|300px|[[Kichujio]] cha [[Erastothenes]].]]
== Kichujio cha Eratosthenes ==
[[Mbinu]]
* andika namba asilia zote kwenye [[karatasi]] kuanzia 2 hadi namba unayotaka kuifanyia [[utafiti]] kama ni namba tasa au la. Usiandike 1 kwa sababu iliyotajwa juu.
# anza kwa 2.
# futa vizidisho vyote vya namba tasa
# anza na 2 na vizidisho vyake kama 4,6,8,10 na kadhalika.
# endelea kwa kufuta 3 (namba tasa inayofuata) na vizidisho vyake kama 6,9,12 na kadhalika.
# sasa unarudia kuangalia [[chanzo]] cha [[orodha]]. Namba inayofuata isiyofutwa ni namba tasa tena. Katika mfano huu utakuwa ni 5. Endelea kufuta vizidisho vyake.
# Kwa njia hii unarudia kuangalia orodha upya na kugundua namba tasa zote zilizomo.
== Matumizi ==
{{Lango|Hisabati}}
Mstari 32:
[[Jamii:Hisabati]]
[[Jamii:Namba]]
|