Mbeya : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 12:
Tangu miaka ya 1990 kitovu cha mji kinahamishwa kutoka eneo la zamani kwenda karibu na barabara kuu ya Daresalaam – Zambia.
 
Kiasili Mbeya ilikuwa eneo la Wasfwa. Siku hizi sehemu kubwa ya wakazi wanaweza kuwa mchanganyiko wa Wsafwa pamoja na makabila ya Wanyakyusa kutoka wilaya ya Rungwe, Wanyiha kutoka Mbozi, Wandali kutoka Ileje na Wakinga kutoka Makete. Mbeya imeanzishwa na wakoloni Waingereza mnamo mwaka 1927. Maana ya Mbeya inatoka na na neno la kisafwa "Ibheya" ambayo maana yake ni chumvi. Hivyo ba si kwenye miaka ya awali wafanya biashara walikuwa wanafika mahali hapo kubadilishana mazao yao kwa chumvi. Sehemu kubwa ya wakazi ni wakristo, hasa wafuasi wa [[Kanisa la Katoliki]], [[Kanisa la Moravian]], [[Kanisa la Kiluteri]]. Kuna pia msikiti kubwa na hekalu ya Wahindu.
 
 
 
{{Mikoa ya Tanzania}}