Nuru : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Cloud in the sunlight.jpg|300px|thumbnail|Nuru ya jua linaangaza wingu angani]]
'''Nuru''' (kutoka [[ar.Kiarabu]] نور, ''nur''; pia'' '''mwanga''') ni [[neno]] la kutaja [[mnururisho]] inayowezaunaoweza kutambuliwa kwa [[macho]] yetu. Kwa [[lugha]] ya [[fizikia]] ni sehemu ya [[mawimbi ya sumakuumeme]] yanayoweza kutambuliwa na jicho. Mawimbi ya nuru huwa na masafa ya [[nanomitajicho]]. 380 hadi 780 au yenye marudio ya takriban [[terahezi]] 789 hadi 384.
 
Ma[[wimbi]] ya nuru huwa na masafa ya [[nanomita]] 380 hadi 780 au yenye marudio ya takriban [[terahezi]] 789 hadi 384.
Chanzo cha nuru duniani ni hasa [[jua]]. Nuru ya jua inaleta pia [[nishati]] inayotumiwa na [[mimea]] ambayo kwa njia ya [[usanisinuru]] inajenga ndani yao [[sukari]] au [[mwanga]] ambazo ni lishe za viumbehai vyote vinavyozikula. Hivyo nuru ya jua kwa njia ya usanisinuru ni chanzo cha nichati kwa karibu viumbehai vyote duniani.
 
Chanzo kingine cha nuru kwa binadamu[[dunia]]ni ni hasa [[motojua]]. Lakini hadi karneNuru ya 19jua nuru hii ilitumiainaleta pia [[nishati]] ya jua iliyotunzwainayotumiwa na [[mimea]] ambayo kwa njia ya [[kuniusanisinuru]], [[mafutainajenga yakwa petroliamundani [[sukari]] au [[gesi asiliawanga]]. Niambavyo tanguni kugunduliwa[[lishe]] kwaza [[umemeviumbehai]] tuvyote vinavyozila. Hivyo nuru ya kwambajua, chanzokwa tofautinjia ya nuruusanisinuru, imepatikana.ni [[chanzo]] cha nishati kwa karibu viumbehai vyote duniani.
 
Chanzo kingine cha nuru kwa [[binadamu]] ni [[moto]]. Lakini hadi [[karne ya 19]] nuru hii ilitumia pia nishati ya jua iliyotunzwa na mimea kwa njia ya [[kuni]], [[mafuta ya petroliamu]] au [[gesi asilia]]. Ni tangu kugunduliwa kwa [[umeme]] tu ya kwamba chanzo tofauti cha nuru kimepatikana.
 
==Nuru kama mnururisho==
Nuru inayoonekana kwetu ni sehemu ya mnururisho wa sumakuumeme. Nuru inayoonekana ni sehemu ndogo tu ya [[spektra]] ya sumakuumeme.

[[Wanyama]] wanaweza kuona mawimbi marefu zaidi, yaani [[infraredi]], au mafupi zaidi, yaani [[urujuanimno]].

Aina nyingine za mnururisho huohuo ni kwa mfano [[joto]], [[eksirei]], [[microwave]], [[mawimbi ya redio]] ambazo zinatofautiana na nuru kwa [[idadi ya marudio]] yaoyake na hazitambuliwi kwa macho au [[milango ya fahamu]], isipokuwa [[joto]] linalotambuliwa na [[ngozi]] yetu.
 
==Tabia za nuru==
Kati ya [[tabia]] za nuru zinazoweza kutofautishwa ni [[ukali]] wake, [[mwelekeo]] wake, marudio yake. [[Kasi ya nuru]] haibadiliki ni daima mita 299,792,458 kwa nukta katika [[ombwe]].
 
[[Kasi ya nuru]] haibadiliki: ni daima [[mita]] 299,792,458 kwa [[nukta]] katika [[ombwe]].
Rangi ya nuru inategemea na marudio yake.
 
[[Rangi]] ya nuru inategemea na marudio yake.
 
== Marejeo ==
{{reflist}}
 
== Viungo vya Njenje ==
{{commons|Light}}
{{wiktionary}}
 
* [http://www.britannica.com/EBchecked/topic/340440/light Light in Encyclopeia Britannica]
* [http://www.physics4kids.com/files/light_intro.html Ligt in Physics for kids]
* [http://www.physicsclassroom.com/class/light Light Waves and Color in physicsclassroom]
* [http://science.howstuffworks.com/light.htm How light works]
 
{{mbegu-sayansi}}
 
[[Category:Fizikia| ]]