Mnururisho : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
'''Mnururisho''' ([[ing.]] ''radiation'') ni uenezaji wa [[nishati]] kwa njia ya vyembe vidogo sana au kwa njia ya mawimbi. Mnururisho huwa na chanzo, mwelekeo usionyoka na kasi.
Mifano ya mnururisho inayoonekana au kusikika kirahisi ni [[nuru]] na [[joto]]. Binadamu ana [[milango ya fahamu]] kwa ajili
== Tabia za mnururisho ==
Mstari 13:
Kuna aina nyingi za mnururisho au njia za uenezaji wa nishati.
* '''Mawimbi ya redio''': ni
* '''[[Mikrowevu]]''': ni aina ya pekee ya mawimbi ya redio yenye lukoka ndogo zaidi; hutumiwa kwa mawasiliano ya simu, kama silaha, kwa uhamisho wa umeme kati ya mahali na pahali halafu katika maihsa ya kila siku ndani ya jiko la püekee la kupashia joto vyakula.
|