Ujuzi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumbnail|300px|Mwanafalsafa Francis Bacon alisema "Ujuzi ni mamlaka" ("knowledge is power") '''Ujuzi'''maana yake ni kufahamu, ku...'
 
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Francis Bacon 2.jpg|thumbnail|300px|Mwanafalsafa Francis Bacon alisema "Ujuzi ni mamlaka" ("knowledge is power")]]
'''Ujuzi'''maana yake ni kufahamu, kujua na kuelewa hali, habari na maelezo yanayohusu mazingira tunapoishi. Tunapata ujuzi kwa maarifa yetu au kwa njia ya kufundishwa tukitazama, kutambua, kulinganisha na kutafakari yale tuliyoona na kujifunza.