Fizikia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tags: Mobile edit Mobile web edit
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Magnet 4.jpg|thumb|250px|right|A [[Upitishoumemkuu|kipitishoumemkuu]] kuonyesha [[Ifekti ya Meissner]].]]
'''Fizikia''' (kutoka [[kigirikineno]] la [[Kigiriki]] φυσικός, (''physikos''), "maumbile", ambalo tena linatokana na φύσις, (''physis''), "kiumbo") ni [[fani]] ya [[sayansi]] inayohusu [[kiumbo|maumbile]] ya [[Dunia]], ambayo inahusuhususan [[asili]] ya viungo vya [[ulimwengu]].
 
Ni [[taaluma]] kutoka [[shina]] la [[sayansi]] yenye kushughulika na Maada[[maada]] na uhusiano wake na [[Nishatinishati]].
 
== Utangulizi ==
 
Tangu zama za nyuma kabisa, [[wanafalsafa ya asili]] walijaribu kueleza ma[[fumbo]] kama vile mienendo ya [[sayari]] na asili ya maada. Mlengo huu ulijulikana hapo mwanzo kama ''Fizikisi'' (''kut.'' eng., ''Physics'', ikiandikwa Physike kuiga [[dhana]] ya [[Aristotle]]).
Tangu zama za nyuma kabisa, [[wanafalsafa ya asili]] walijaribu kueleza mafumbo kama vile mienendo ya sayari na asili ya maada. Na Mlengo huu ulijulikana hapo mwanzo kama ''Fizikisi'' (''kut.'' eng., ''Physics'', ikiandikwa Physike kuiga dhana ya Aristotle). Kuibuka kwa Fizikia kama tawi la sayansi lenye kujitegemea toka kwenye shina [[falsafa asilia]], kulitokana na mapinduzi ya kisayansi ya karne ya 16 na 17 na kuendelea mpaka pambazuko la Sayansi ya Kisasa, mnamo mwanzo wa karne ya 20. Nyanja hii imekuwa ikiendelea kutanuka kulingana na kukua kwa tafiti na kupelekea gunduzi mbali mbali kama vile; [[modeli sahili ya chembe za kimsingi]] na uelezi uliotanuka wa historia ya ulimwengu, sambamba na mapinduzi ya tekinolojia mpya kama [[silaha za kinyuklia]] na [[semikonda.]] Leo hii Utafiti unaendelea katika mikondo mipana ya ki mada; kuhusisha [[mpitishoumemkuu]] katika joto la hali ya Juu, [[Ukototiaji wa Kikwantumu]], utafutaji wa [[Higg Boson]], na jitahada za kuendeleza Nadharia ya [[Mtuazi wa Kikwantumu]]. Uliokitwa katika Mitazamo na vitendo, na pia seti zilizojisheheneza kwa nadharia zinazodhihirishwa kwa Hisabati nzuri, Fizikia imefanya mchango mwingi katika sayansi, tekinolojia na falsafa.
 
Kuibuka kwa Fizikia kama [[tawi]] la sayansi lenye kujitegemea toka kwenye shina la [[falsafa asilia]], kulitokana na [[mapinduzi ya kisayansi]] ya [[karne ya 16]] na [[karne ya 17|ya 17]] na kuendelea mpaka pambazuko la [[Sayansi ya Kisasa]], mwanzoni mwa [[karne ya 20]].
Ugunduzi katika Sayansi umegusa kote ndani ya Sayansi Asilia, na Fizikia inaelezwa kama ''Sayansi ya Msingi'' kwa sababu nyanja zingine kama Kemia na Baiolojia, huchunguza mifumo ambayo tabia zake husimama toka kwenye kanuni za Fizikia. Kemia, kwa mfano, ni sayansi ya dutu iliyofanyika na atomu na molekyuli kwa wingi mmoja, lakini tabia za kampaundi za kikemia zinatathminiwa kwa tabia za kimaumbile za molekyuli zinazochipukia kwayo.
 
Nyanja hii imekuwa ikiendelea kutanuka kulingana na kukua kwa tafiti na kupelekea gunduzi mbalimbali kama vile: [[modeli sahili ya chembe za kimsingi]] na uelezi uliotanuka wa [[historia]] ya ulimwengu, sambamba na [[mapinduzi]] ya [[teknolojia]] mpya kama [[silaha za kinyuklia]] na [[semikonda]].
Fizikia ya vitendo inahusiana kwa karibu na [[Uhandisi]] na [[Tekinolojia]]. Mwanafizikia anayejihusisha na msingi wa utafiti hufanya muundopicha na kisha kufanya vitendo kwa kutumia vyombotekichi kama [[kikazanishio mwendo wa chembe]] na [[Biru]], na angali mwanafizikia anayejihusisha na [[tafiti zilizotendewa kazi]], huvumbua tekinolojia kama vile [[Upigaji Picha Kiusumaku Mtetemiazi]] (''Kut.'' eng. MRI, ''Magnetic Resonance Imaging'') na tranzista za sifa mbali mbali.
 
Leo hii [[utafiti]] unaendelea katika mikondo mipana ya kimata; kuhusisha [[mpitishoumemkuu]] katika [[joto]] la hali ya juu, [[Ukototiaji wa Kikwantumu]], utafutaji wa [[Higg Boson]], na [[jitahada]] za kuendeleza [[Nadharia]] ya [[Mtuazi wa Kikwantumu]]. Uliokitwa katika mitazamo na vitendo, na pia [[seti]] zilizojisheheneza kwa nadharia zinazodhihirishwa kwa [[Hisabati]] nzuri, Fizikia imetoa mchango mkubwa katika sayansi, teknolojia na [[falsafa]].
Fizikia ya kinadharia ina uhusiano wa karibu na hisabati, ambayo huipa lugha ya nadharia za kimaumbile. Aghalabu ni kweli kwamba shauri la kwanza la Nadharia ni kupembua mahusiano katika sura ya ki ulimwengu inayo shahibiana na yatendekayo, kazi ingine ya umuhimu sawa ni kufanyiza kanuni za mahusiano kimahesabu. Matumizi ya hisabati katika nadharia huwakilisha dhana ya kimawazo, katika mchakato wa kuibua mhitimisho muhimu kutoka kwenye hali ya Udhanifu uliopitia sheria rasmi za ukokotoaji. Hata hivyo, nafasi ya hisabati katika nyanja ya Fizikia ya Kinadharia inapelekea kwamba, si tatizo la mwanafizikia ya kinadharia ku chetua kidhibitihakikivu cha kihesabu na, kwa kweli kabisa; mahitaji yaliyokaza sana kwenye hesabu mara nyingi hupingana na kweli za kimaumbile. Mwanafizikia ya Kinadharia maranyingi vile vile huegamia katika ufuatiliaji tathmini wa kinamba na uchocheaji picha wa kompyuta na hivyo kuona matokeo yake; na ndio maana kompyuta na kuprogram kompyuta imekuwa na uwanda mpana wenye sura mbali mbali katika kufanya modeli za kimaumbile. Kwa kweli, nyanja ya Hisabati na Ufuatiliaji tathmini kikompyuta ni uwanja uliochangamka katika utafiti. Fizikia ya kinadharia mara nyingi huhusiana na falsafa na [[metafizikia]] ambapo inaangukia upande wa mawazo ya kufikirika kama vile [[nafasi za vizio wakadhaa]] na [[ulimwengu sambamba]].Ukusuma nkebedu eshambe.
 
[[Ugunduzi]] katika Sayansi umegusa kote ndani ya [[Sayansi Asilia]], na Fizikia inaelezwa kama ''Sayansi ya Msingi'' kwa sababu nyanja zingine kama [[Kemia]] na Baiolojia[[Biolojia]], huchunguza mifumo ambayo [[tabia]] zake husimama toka kwenye kanuni za Fizikia. Kemia, kwa mfano, ni sayansi ya [[dutu]] iliyofanyika na [[atomu]] na [[molekyuli]] kwa wingi mmoja, lakini tabia za kampaundi za kikemia zinatathminiwa kwa tabia za kimaumbile za molekyuli zinazochipukia kwayo.
 
Fizikia ya vitendo inahusiana kwa karibu na [[Uhandisi]] na [[Tekinolojia]]. [[Mwanafizikia]] anayejihusisha na msingi wa utafiti hufanya [[muundopicha]] na kisha kufanya vitendo kwa kutumia [[vyombotekichi]] kama [[kikazanishio mwendo wa chembe]] na [[Biru]], na angali mwanafizikia anayejihusisha na [[tafiti zilizotendewa kazi]], huvumbua tekinolojia kama vile [[Upigaji Picha Kiusumaku Mtetemiazi]] (''Kut.''kwa eng.Kiingereza MRI, ''Magnetic Resonance Imaging'') na [[tranzista]] za sifa mbali mbalimbalimbali.
 
Fizikia ya kinadharia ina uhusiano wa karibu na hisabati, ambayo huipa [[lugha]] ya nadharia za kimaumbile. Aghalabu ni kweli kwamba shauri la kwanza la Nadharia ni kupembua mahusiano katika sura ya kiulimwengu inayoshahibiana na yatendekayo. Kazi nyingine ya umuhimu sawa ni kufanyiza kanuni za mahusiano kimahesabu.
 
Matumizi ya hisabati katika nadharia huwakilisha dhana ya kimawazo, katika [[mchakato]] wa kuibua hitimisho muhimu kutoka kwenye hali ya [[Udhanifu]] uliopitia [[sheria]] rasmi za [[ukokotoaji]].
 
Hata hivyo, nafasi ya hisabati katika nyanja ya Fizikia ya Kinadharia inapelekea kwamba, si [[tatizo]] la mwanafizikia ya kinadharia kuchetua kidhibitihakikivu cha kihesabu na, kwa kweli kabisa; mahitaji yaliyokaza sana kwenye hesabu mara nyingi hupingana na kweli za kimaumbile.
 
Mwanafizikia ya Kinadharia mara nyingi vilevile huegamia katika [[ufuatiliaji]] [[tathmini]] wa kinamba na [[uchocheaji]] picha wa [[kompyuta]] na hivyo kuona matokeo yake; na ndiyo maana kompyuta na kuprogramu kompyuta vimekuwa na [[uwanda]] mpana wenye sura mbalimbali katika kufanya [[modeli]] za kimaumbile.
 
Kwa kweli, nyanja ya Hisabati na Ufuatiliaji tathmini kikompyuta ni uwanja uliochangamka katika utafiti.
 
Fizikia ya kinadharia mara nyingi huhusiana na falsafa na [[metafizikia]] ambapo inaangukia upande wa mawazo ya kufikirika kama vile [[nafasi za vizio wakadhaa]] na [[ulimwengu sambamba]].
 
== Nadharia ==
[[Picha:HAtomOrbitals.png|thumb|right|250px|[[atomuAtomu]] za [[haidrojeni]] chache za kwanza [[obiti za elektroni]] zilizooneshwa kwa sura ya mkatizo zikiwa zimetiwa [[rangi]] alama [[Kimamlima cha uwezekanivu|densiti ya uwezekanivu]].]]
 
Ingawaje mwanafizikia husoma aina mbali mbalimbalimbali za mafumbo ya maisha, kuna baadhi ya nadharia zinatumikazinazotumika kwa wanafizikia wote. Kila moja ya hizi nadharia imejaribiwa kwa [[idadi]] ya vitendo na kuhakikishwa makadirioma[[kadirio]] sahihi ya asili iliyopo ndani ya mizingo yenye kukubadilikakubadilika umakini. Kwa mfano, nadharia ya
utafiti.
 
== Utafiti ==
==Historia==
[[Astronomia]] inatajwa kama sayansi ya kale zaidi ambapo [[jamii]] zilizokuwa [[ustaarabu|zimestaarabika]] zamani kama wasumeriani[[Wasumeri]], wamisri[[Wamisri wa kale]] na jamii kuzunguka uwanda wa indus[[mto]] [[Indus]], takriban miaka [[3000(K.K) KK]] zilikua na [[uelewa]] juu ya [[elimu]] ya kiutabiri[[utabiri]] yakuhusu mienendo ya [[jua]], [[mwezi]] na [[nyota,nyota]]. Nyota na mwezi mara nyingi zilichukuliwa kama [[alama]] za kiibadaki[[dini]], zikiaminika kuwakilisha [[miungu]] yao.
Ingawa maelezo ya matukio hayo mara nyingi hayakua ya kisayansi na yenye upungufu wa vithibitisho hayo maono ya enzi hizo yalikua ni msingi wa uendelezaji wa elimu ya unajimu baadae.
 
Ingawa maelezo ya matukio hayo mara nyingi hayakuahayakuwa ya kisayansi, natena yenye [[upungufu]] wa vithibitisho, hayo maono ya enzi hizo yalikua niyalikuwa [[msingi]] wa uendelezaji wa elimu ya [[unajimu]] baadae.
Kwa mujibu wa Asger Aaboe, chanzo cha astronomia ya kimagharibi yaweza patikana mesopotamia, na juhudi zote za wamagharibi kuelekea sayansi ya uhalisia zimerithiwa kutoka astronomia ya kale ya kibabilonia.
Wanaastronomia wa kimisri waliacha alama katika makaburi na kumbukumbu zingine juu ya makundi nyota na mienendo ya maumbo mengine katika samawati( maumbosamawati/magimba) mengine. Wakati mshairi wa kigiriki Homer aliandika juu ya maumbosamawati tofauti katika Iliad yake na Odyssey; baadae wanaastronomia wa kigiriki waliyapa majina makundi nyota mengi yanayoonekana katika kizio cha kaskazini cha dunia, majina ambayo bado ya natumika hadi leo.
 
Kwa mujibu wa [[Asger Aaboe]], [[chanzo]] cha astronomia ya kimagharibi yaweza patikanakupatikana mesopotamia[[Mesopotamia]], na [[juhudi]] zote za wamagharibiwatu wa [[magharibi]] kuelekea sayansi ya uhalisia zimerithiwa kutoka astronomia ya kale ya kibabiloniaKi[[babilonia]].
Falsafa ya asili.
Wanaastronomia wa [[Misri]] waliacha alama katika ma[[kaburi]] na [[kumbukumbu]] zingine juu ya ma[[kundi nyota]] na mienendo ya ma[[umbo]] mengine katika [[samawati]] (ma[[umbosamawati]]/ma[[gimba]]) mengine.
 
WanaastronomiaWakati wa[[mshairi]] kimisribora waliachawa alama katika makaburi na kumbukumbu zingine juu ya makundi nyota na mienendo ya maumbo mengine katika samawati( maumbosamawati/magimba) mengine. Wakati mshairi[[Ugiriki wa kigirikikale]] [[Homer]] aliandika juu ya maumbosamawati tofauti katika Iliad yake na Odyssey; baadae wanaastronomia wa kigirikiKigiriki waliyapa majinama[[jina]] makundi nyota mengi yanayoonekana katika [[kizio cha kaskazini]] cha dunia, majina ambayo bado ya natumikayanatumika hadi leo.
 
===Falsafa ya asili.===
 
Falsafa ya asili ina chanzo chake huko Ugiriki wakati wa kipindi cha Archaid, (650 K.K– 480K.K), ambapo wanafalsafa wa kabla ya Socrates kama Thales waliyakataa maelezo yasiyo ya kiasili kwa matukio ya kiasilia na kutangaza kwamba kila tukio lilikua na sababu za kiasili.
 
Walipendekeza kwamba mawazo lazima yathibitishwe na sababu makini na uoni na nyingi katika nadharia zao zilithibitishwa kwa mafanikio makubwa katika majaribio mbalimbali, kwa mfano, nadharia ya atomi ilijulikana kuwa sahihi takribani miaka 2000 baada ya kupendekezwa mara ya kwanza na Leucippus na mwanafunzi wake Democritus.
 
===Fizikia ya kizamani===
 
Sir Isaac Newton (1643–1727), Alianzisha sheria zake za mwendo na uvutano ambazo zilikua ni upigaji mkubwa wa hatua katika fizikia ya kizamani.
Line 42 ⟶ 63:
Ugunduzi wa sheria mpya za joto [[thermodynamics]], kemia na umemesumaku ulitokana na juhudi kubwa za uchunguzi katika kipindi cha mapinduzi ya viwanda kutokana na kuongezeka kwa kiasi kikubwa kwa mahitaji ya nishati . Sheria zenye maudhui ya fizikia ya kizamani ziliendelea luwa na matumizi makubwa katika matukio ya kila siku ambabo maada ilisafir na miendokasi isiyokarobia ule wa mwanga kwa kuwa yalitoa majibu yenye makadirio ya karibu zaidi, na nadharia kama kwanta ya kimakenika na ile ya rilativiti zilorahisika kuelekea kutoa majibu kama yaliyotolewa na classical physics. Hata hivyo makosa katika fizikia ya kizamani hasa kwa vitu vidogo zaidi na vile vyenye mwendo karibia ule wa mwanga vilipelekea kuendelezwa kwa fizikia ya kileo katika karne ya 20.
 
===Fizikia ya kileokisasa===
 
Kazi za Albert Einstein (1879–1955), katika athari za kifotoelektriki na nadharia ya rilativiti ilipekea mapinduzi ya fizikia katika karne ya 20.
 
Max Planck (1858–1947),alianzilisha nadharia ya kwanta ya kimakenika [[vifurushi kimakenika]].
 
Fizikia ya kileokisasa ilianza mwanzoni mwa karne ya ishirini kutokana na kazi ya Max Planck kwenye nadharia ya kwanta nadharia ya rilativiti Albert Einstein. Zote kwa pamoja nadharia hizi zilikuja kwa sababu ya majibu yasiyo sahihi sana [[in accurate answers]] yaliyotolewa na mekaniki ya kizamani katika baadhi ya matukio. mekaniki ya kizamani ilitabiri mabadiliko ya mwendokasi wa mwanga, jambo ambalo lilishindwa kutatuliwa na mwendokasi usiobadilika uliotabiriwa na milinganyo ya umemesumaku ya Maxwell ; utata huu ulirekebishwa na nadharia ya Einstein ya rilativiti maalum, ambayo iichukua nafasi ya mekaniki ya kizamani kwa vitu vinavyokwenda kwa spidi kubwa zaidi na ikaruhusu mwendo wa mwanga usiobasilika. Mnururisho wa vitu vyeusi pia ulikua tatizo lingine kwa mekaniki ya kizamani , ambalo lilitatuliwa wakati Planck alipopendekeza kwamba mwanga husafiri katika mfumo wa vifurushi vidogovidogo vinavyoitwa fotoni; pamoja na athari za fotoniumeme na nadharia nzima inayotabiri ngazi zilizojitenga za njiamzingo za elektroni , ilipelekea kwenye nadharia ya vifurushikimakenika kushika nafasi ya mekaniki ya kizamanikatika mizania ndogo sana.
 
[[Vifurushikimakenika]] (Quantum mechanics) ilianzishwa kutokana na kazi za mwanzo za akina Werner Heisenberg, Erwin Schrödinger na Paul Dirac. Kutokana na kazi hizo za mwanzo kila mmoja katika tasnia yake muundo wa kiwango kinachotambulika wa fizikia ya hardali/ vitu vidogo ilipatikana . kufuatia ugunduzi wa tabia za hardali zinazokubaliana na Higgs boson katika kituo cha CERN mwaka 2012, hardali zote za msingi ziliweza kutabiriwa na muundo unaotambulikana, na hakuna hardali zingine zilizoonekana kupatikana, hata hivyo fiIkia zaidi ya muundo unaotambulika, na nadharia kama za supersymmetry, ni katika mambo yanayoendelea kufanyiwa utafiti hivi leo [citation needed]
Line 54 ⟶ 76:
{{Lango|Sayansi}}
 
==Viungo vya nje==
*https://en.m.wikipedia.org/wiki/Physics
 
{{mbegu-sayansi}}
== Dondoo ==
 
[[Jamii:Fizikia]]