Mao Zedong : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q5816 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Mao Zedong''' (* [[26 Desemba]] [[1893]] / + [[9 Septemba]] [[1976]]) alikuwa kiongozi wa [[Chama cha kikomunisti cha China]] tangu [[1935]] hadi kifo chake na pia kiongozi mkuu wa [[China]] tangu [[1949]].
Aliongoza wakomunisti katika [[vita ya wenyewe kwa wenyewe ya China]] dhidi ya serikali ya [[Kuomintang]] na dhidi ya jeshi la [[Japan]] wakati wa [[vita kuu ya pili ya dunia]].
Mstari 6:
Alijaribu kujenga ukomunisti nchini kwa kutegemea wakulima kuliko wanafayakazi jinsi ilivyokuwa itikadi ya kawaida ya Ukomunisti.
Siasa yake ya kiuchumi ilisababisha njaa na vifo vingi. Dhidi ya wapinzani wake ndani ya chama alianzisha tangu 1966 "[[mapinduzi ya
[[Jamii:Watu wa Uchina]]
|