Wawanji : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 14:
Mwisho makabila jirani huamini kuwa huwezi kufika nyumbani kwa Mwanji ukaondoka bila [[chakula]] na pia kama ukienda na chakula chako basi, mtakila wote na wewe utakula chakula chao.
Mazao maarufu yanayostawishwa katika bonde hili ni kama; mahindi, ngano, maharagwe, njegere, viazi mviringo, na kwa kiasi kidogo mtama na ulezi. Lakini pia kuna pareto kama zao la biashara.▼
▲Mazao maarufu yanayostawishwa katika bonde hili ni kama
==Tanbihi==
<references/>
|