Dar es Salaam : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 22:
|longd=39 |longm=17 |longs= |longEW=E|coordinates_display=d
}}
'''Dar es Salaam''' ni [[jiji]] kubwa kuliko yote nchini [[Tanzania]]. Pia ni jina la [[Mkoa wa Dar es Salaam]].

Ni [[mji mkuu]] wa kibiasharaki[[biashara]] wa Tanzania wakati [[Dodoma]] ni [[makao makuu]] ya Tanzania tangu mwaka [[1973]]. Mpango wa kuhamishakuhamishia [[serikali]] kwenda makao makuu mjini[[mji]]ni Dodoma bado unaendelea, japokuwa bado [[ofisi]] nyingi za serikali, ikiwa ni pamoja na [[Ikulu]], zipo Dar es Saalaam.

Mji una wakazi wapatao 4,364,541 kwa [[hesabu]] ya [[sensa]] iliyofanyika katika mwaka wa 2012.<ref>[http://www.nbs.go.tz/sensa/popu1.php Ripoti ya Sensa 2012]</ref>
 
== Historia ==
{{main|Historia na Maendeleo ya Jiji la Dar es Salaam}}
Jiji hili zamani liliitwa [[Mzizima]]. [[Sultani]] [[Seyyid Majid]] wa [[Zanzibar]] ndiye aliyelipa jiji hili jina "Dar es Salaam" linalotokana na lugha ya [[Kiarabu]] '''دار السلام''' (''Dār as-Salām'') lenye kumaanisha "nyumba ya amani." Maelezo yanayopatikana mara nyingi kuwa maana ni "bandari ya salama" yachanganya maneno mawili yanayofanana katika Kiarabu yaani "dar" (=nyumba) na "bandar" (=bandari).
 
Line 39 ⟶ 43:
 
==Huduma za Jiji==
hudumaHuduma ya [[maji]] daresDar salaam,es kumekuwaSalaam imekuwa na [[tatizo]] kubwa katika kudhibiti mfumo wa [[maji taka]] katika mkonamkoa wa darDar es salaamSalaam kwa muda mrefu. tanguTangu shirika la maji dawascoDAWASCO (darDar es salaamSalaam waterWater supplySupply companyCompany)lilipo wekwalilipowekwa rasmi kama shirika husika katika kuratibu [[utaratibu]] mzima wa [[mfumo wa maji safi ]] na maji taka, kume kuwakumekuwa na unafuunafuu kidogo tu, lakini baada ya muda, liliibuka tatizo la kuibiwa kwa mabombama[[bomba]] na [[uharibifu]] wa vyanzo mbalimbali vya maji.
 
== Picha za Dar es Salaam ==
<gallery>
Image:Dar Ikulu-tz.jpg|'''Ikulu''' - Nyumba ya Rais huko Dar-Es-Salaam
Image:DarEsSalaam-SamoraMachelAvenue.jpg|Samora Machel Avenue withikiwa na N.I.C. House
Image:DarEsSalaam-Skyline.jpg|Feri ya kuvuka Kigamboni, nyumba za jiji zaonekana ng'ambo ya bandari asilia
Image:Dar Askari.jpg|Sanamu ya "Askari" kwa ajili ya maaskari Waafrika walioshiriki vita kuu ya kwanza upande wa Waingereza
Line 54 ⟶ 58:
==Marejeo==
{{marejeo}}
 
== Viungo vya nje ==
{{commons cat|Dar es Salaam}}