Mshtarii : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Portrait of Jupiter from Cassini.jpg|thumb|250px|right|Picha ya Mshtarii iliyopigwa na [[chombo cha angani]] [[Cassini]]]]
'''Mshtarii''' (pia '''Mshiteri''' au '''Mshatira'''<ref>kuhusu majina ya sayari zilizojulikana kwa Waswahili na hivyo kuwa na majina ya asilia linganisha Jan Knappert, Swahili Islamic poetry, Brill 1971, Vol 1 uk 96-97 - taz google booksearch [http://books.google.de/books?id=yzsVAAAAIAAJ&pg=PA97&lpg=PA97&dq=swahili+milky+way&source=bl&ots=TTuUw8pwyY&sig=VpAq9mWXJ-BwDL5w0DwxouIpcGw&hl=de&ei=x9FATPawC4bG4AbppeDXDg&sa=X&oi=book_result&ct=result&resnum=1&ved=0CBUQ6AEwADgK#v=onepage&q=swahili%20milky%20way&f=false]</ref> , kutokana na [[Kiarabu]] "المشتري" al-mshtari; pia '''Sumbula'''
[[Picha:Jupiter Earth Comparison.png|thumb|left|Ulinganishi wa ukubwa wa [[Dunia]] yetu (kushoto) na Mshtarii pamoja na "doa
Mshtarii ni sayari kubwa kabisa ya jua letu.
== Angahewa ==
[[Uso]] wa sayari
Doa
== Miezi ==
Mshtarii ina miezi 63 zilizotambuliwa hadi mwaka [[2005]]. Ukubwa wa [[Io]] unakaribia [[kipenyo]] cha [[Utaridi]] ukipita kile cha [[Pluto]]. Mwezi mdogo kabisa wa Mshtarii unajulikana kwa namba tu na una kipenyo cha
Miezi minne mikubwa ilitambuliwa mwaka [[1610]] na [[Galileo Galilei]] aliyekuwa kati ya wanaastronomia wa kwanza waliotumia darubini. Ndiyo [[Io]], [[Europa]], [[Ganymedi]] na [[Kallisto]].
==Tanbihi==
{{marejeo}}
{{mbegu-sayansi}}
Line 19 ⟶ 22:
[[Jamii:Sayari]]
|